October
JF-Expert Member
- Oct 5, 2009
- 2,145
- 92
Hakuna Ukristo Zanzibar. na hao unaowasikia Wote wametoka bara na hawafiki hata 1%
Aliekuambia hakuna Ukristo Zinzi-bar ni nani, Hayo Makanisa yaliyoko huko ina maana hawasali binadamu? Au ndo maana Mnayachoma?