Mjadala: Tatizo la kujieleza kwenye usaili wa kazi

Swali gumu hilo unatakiwa utulie kama secunde 15 ndio ujibu ni kwasababu una uwezo wa kutekeleza majukumu utakayo pangiwa kwa ufanisi kulingana na vigezo vyako.
 
13b2cec3063b6707fe5393df8b31e39a.jpg
bf7148ecc6cceaebc97150c8ffff26d6.jpg
 
Mkuu, hilo jibu ulilompa ni la kiujumla sana, na inawezekana ulishalijibu kwa vyeti na maelezo ya awali kabisa. Kwanza hili swali mara nyingi huulizwa mwishoni na haswa ni ktk usahili unaohusisha wasailiwa wengi.

Jibu sahihi hapa ni kuonesha kipi unacho ambacho unadhani wenzako hawana. Spesho skills zenye tija kwa kazi. Kujibu kirahisi hivyo kila mmoja atajibu.

Kama huna spesho skills, basi bahatisha kwa kuonesha unalifahamu kampuni au kazi husika na shughuli zake, changamoto na jinsi ulivyojiandaa kukabiliana nazo.
 
Kujibu swali hilo inabidi ukae kimya kama dakika tatu hivi ukitafakari huku ukiwa umewakazia macho wauliza swali. Aaaah aaah.
 
Hutakaa ukutane na swali hilo!! Utaweza amini?? Atii; Why we should hire you?? Sidhani kama kingereza hicho kipo?? Nadhani kama mpangilio wa maneno utakuwa ki hivyo, basi hilo sio swali baya kwani wanakuhakikishia kuwa tuyari kazi ushaipata.
Hebu mkuu sikiliza maneno haya; Why? We should hire you! Halafu kuna hili; Why should we hire you?? Kati ya hayo maswali ni lipi utakutana nalo??
 
HII THREAD SAFI SANA NIMEIPENDA HASWA KWA SISI AMBAO BADO TUNATAFUTA KAZI.
 
Kwa upande wangu mpaka dakika hii sijajua huwa nakosea wapi kwenye interview za kazi maana nimeshafanya interview zaidi ya 6 lakini kati ya hizo nilipita kwenye interview 1 tu ila nilishindwa kufanya kazi kutokana na malipo kuwa madogo sana.

Ila nilichogua kwenye makampuni mengi ya hapa kwetu interview huwa haziko fair kuna mazingira ya upendeleo kwa kiasi kikubwa sana, na interview hufanyika ili kutimiza wajibu tu, maana wengi huwa hawatafuti wafanyakazi ila huwa wanatafuta waziba nafasi za kazi.


Vile vile hata maswali yao unashindwa kuelewa wanapima kitu gani kwa interviewer maana maswali yao si yale ya kukufanya upate kazi ila ukose kazi.

UN wana_ interview ambazo ziko fair sana hata usipopata kazi ila unaona kabisa kilichokufanya ukose ni kipi.
 
Interview ikiisha usisahau kuchukua Namba za wenzako itakusaidia sana kupata update kwmb nn kiliendelea,pia itakusaidia kwny connection sababu wengine unakutana nao kwny interview moja utakuta ww hauna kazi ila wao wamekuja kufanya interview kubadili mazingira ya kazi au kufuta masirahi makubwa zaidi.
So usivimbe boya wee jifanye kama jinga fulani chunguza kila mmoja force upate na namba zao.
 
Hii imenisaidia sana sana
Interview ikiisha usisahau kuchukua Namba za wenzako itakusaidia sana kupata update kwmb nn kiliendelea,pia itakusaidia kwny connection sababu wengine unakutana nao kwny interview moja utakuta ww hauna kazi ila wao wamekuja kufanya interview kubadili mazingira ya kazi au kufuta masirahi makubwa zaidi.
So usivimbe boya wee jifanye kama jinga fulani chunguza kila mmoja force upate na namba zao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mfano mzuri tu nilikuwa tanga mwezi wa saba kulikuwa kuan Interview pale mamkla ya maji walio itwa kwa usahili walikuwa wachache sana 4 ila aliye pata job appearance and dress code was mbaya ilikuwa siyo kiofice wana JF alikuwa anamadevu kama osama shirt ya mikono mireku kakunja amenyoa kipara midevu kaiachia.

Pili swala la muda alichelewa kwanza kama 15mins jinalake lilipoitwa kwaajili ya kuingia kwa chumba cha interview walipotaka kumwita mtu mwingine ndio akawa ametokezea na akaingia sasa hapo niambie FL1 akili yake ilikuwa imetulia kweli na akaweza kujibu vizuri na akapata kazi?? mavazi yake na mwonekano wake tu? Ilikuwaje Meza kuu inayo wasahili ilimpitiusha huyo bwana?? Pili ilikuja kugundulika elimu yake ilikuwa ndogo zaidi kuliko ya wale wengine watatu?

Me nadhani kuna tatizo pia kwa jopo au meza kuuu inayowashili wanaoomba kazi.

Mie kwakweli ktk swala la usahili TZ kunavituko na vimbwanga vingi sana.

Pia walioajiliwa wengi wakuta sio elimu walizo somea na ungugunisation ni mkubwa kupita kiasi.
"Nothing can replace experience"
Kumbuka na hili pia.
Ngoja nikupe kisa changu,ilikuwa mwaka 2019 mwezi wa tano Kuna kampuni ya ujenzi jijini mwaza ilikuwa inaendasha interview siku moja offisini kwao na CEO, manager na viongozi wengine walikuja mimi kwenye mizunguko yangu ya kurenew line ya simu nikapita maeneo karibu na office yao gafla nikamona rafiki yangu wa mda mrefu tukasalimiana na story mbili 3 swali la mwisho likawa Upo wapi saiv? Nikamwambia sina kazi nipo home tu! Uwezi amini jamaa akani ambia hapa office kwao leo kuna usaili wanatafuta kijana hatakaye weza kufanya kazi Aina flani ****** (naficha kwajili ya anonymous) ni tender mpya na hawana mtaalamu wakuweza kufanya so ngoja nikufanyie mpango jina lako liingie kwenye watu watakao fanyiwa usaili Leo,... Kukatisha story jamaa akafanya yake nikaingia ndani... Neno lamwisho akaniambia mm siwezi kukupa kazi hao umo ndani ndio maboss embu nenda kawashawishi wakupe Kazi...
Nipo ndani sasa,
Maboss:- Kijana karibu embu tukabidhi cv yako, na citificate
Mm:- Sina boss
Mbb:- Kwaiyo hapa umekuja kufanya nini si nikutupotezea mda..
Mm :- Nikajitetea sijui hata nilisema nini.
Mbb :- Kabla hawaja nifukuza mmoja wao akasema embu jieleze kwa mdomo wasifa wako nakupa dakika 5..
Mm :- nikatirika chap tu,
Mbb:- Nikaaza kulizwa maswali 1,2,3,4,5,....nk
Mm :- Pangua maswali yote
Mbb:- Andika number yasimu tunaweza kukutafuta
Baada ya siku mbili simu inaita ikinitaka nipeleke cv na vyeti vyangu for verification..
Nikapewa kazi ilikuwa ya miezi mitatu geita mwaza nikaifanya na mpaka mkataba ulipokwisha.
Nataka nikwambia kuwa sometimes bahati inaweza kuwa upande wako, Lakini pia unaweza ukawa unatoa majibu sahii lakini sio majibu wanayoyataka wasaili wako....
 
Back
Top Bottom