Wewe kama hujui uliza uambiwe, umeleta thread sasa naona unadandia gari kwa mbele... Serikali na nchi vitu viwili tofauti .. Nchi yangu ni Tanzania. Tanzania ilivyokuwa chini ya uongozi wa Nyerere, ni tofauti na Tanzania ya Mwinyi, Jakaya na zaidi sasa ndiyo tofauti mmmnnooo chini ya serikali hii ya sasa. Mimi Mtanzania naipenda saaana, tena Mimi nikwambie ni Mzalendo hasa lakini siyo lazima niipende serikali hii. Isitoshe sikiliza kuwa Mzalendo siyo lazima uipende serikali iliyopo madarakani. Naipenda nchi yangu lakini ikiwa serikali iliyopo madarakani inaenda inatupeleka siko nitaipendaje hiyo serikali. Katiba inasema no body is above the law.. Iweje mtu leo avunje mchana kweupe sheria namba 5 ya vyama vya siasa!! Hakuna Uhuru wa kutoa ama kupokea maoni, hakuna Uhuru wa kukutana na nasisitiza siyo kwamba katiba/sheria zinakataza Nooop ni mtu mmoja tu anazuia utekelezaji wa sheria/katiba. Nitaipendaje serikali hiyo!!! Tuache UNAFIKI tunakokwenda siko. Way forward.. Tuseme nooo. Tusiombe bali tuitake katiba ya Warioba. Tuache ukondooSerikali iliyopo madarakani ndio nchi yenyewe hiyo. Najua utabisha. Wao ndio wanadhamana ya ulinzi wako, chakula na maji yako, elimu na welfare yako kwa ujumla.
Vijana wa ufipa kwa nini mnapenda kujumuisha vijana wote ktk hako kasakosi kenu??
Unajitekenya mwenyewe unacheka mwenyewe bavicha mna vituko hapo na wewe utapewa viti maalum kwa utafiti wako uchwala labda vijana wa haiPicha hapo chini zinaonesha jitihada za serikali pamoja na vyombo vya ulinzi na usalama katika kusaidia wahanga wa ajali ya bus la wanafunzi wa shule ya Lucky Vincent iliyotokea wilayani Karatu katika mkoa wa Arusha.
View attachment 527790
View attachment 527792
Licha ya juhudi zote hizi bado vijana wanatukana sana serikali yao? Tatizo ni nini hasa?
Gharama zote za mazishi kuanzia jeneza, mochwari, usafirishwaji wa miili mpaka majumbani mwa wafiwa, the government paid all these, but guys hawapo thankful kabisa? Kila siku ni matusi na kejeli kwa nchi yao, kwanini?
Ina maana hakuna jema serikali inalofanya hata kustahili sifa?
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Viongozi wenu wanajituma sana kuwahudumia kadri ya uwezo wao na hali ya uchumi wa nchi. Learn to be thankful hata kwa vitu vidogo kama hivi.
Najua nitatukanwa, kukejeliwa na kuitwa najipendekeza na kila aina ya jina, lakini tatizo la msingi ni lipi kati ya vijana na serikali yetu ya Tanzania?
Nothing is easier than blaming others for your own problems. Hakuna jambo rahisi kama kulalamikia serikali kwa matatizo yako wewe mwenyewe.
Nawasilisha.
Bora ujisemehe kwa nafsi yako kama labda unaipenda au unaichukia serikali.
Ila mm kwa upande wangu kama kijana nnaipenda mno serikali yangu na pia nnafurahia kazi nzuri inayofanya kutuletea maendeleo. Napia nnaiunga mkono kwa asilimia zote
+kufungwa mgodi wa bulyankulu ajila2000.+precission air kupunguza ajila watu136.+watumishi hewa elfu 19 na ------.hata kichaa lazima akuchukieVijana wengi wanaomaliza masomo na kukosa ajira ni bomu ambalo serikali inaliandaa bila kujijua...
- Hivi kijana anawekewa vikwazo vizito, anaishi kama yuko kwenye moto unategemea nini. Serikali haina mpango wowote na vijana, kila inakowaona inawachukulia kama majambazi.Mbona matusi kila siku humu JF kwa Serikali? Sisi vijana nani ameturoga?
NonsenseTulizoea kuiba Mali za serekali. Atupendi kufanya kazi.
For your information hao waliochishwa Kazi watazalisha ajira,+kufungwa mgodi wa bulyankulu ajila2000.+precission air kupunguza ajila watu136.+watumishi hewa elfu 19 na ------.hata kichaa lazima akuchukie