Kitimoto
JF-Expert Member
- Aug 25, 2012
- 5,230
- 4,964
Aisee.Gono hiyo,nenda hospital watakuandikia Sindano. Na wasiliana yule uliyegusishana nae vikojoleo nae atibiwe.Na yeye awasiliane na wote aliolala nao.Inapona hiyo.Sema baada ya miezi mitatu ukapime na ngoma.
Kumbe kuna magonjwa ya ajabu ya ngono kama hii. Mimi kuugua kwangu ni UTI tu.
Utakuta aliyemuambukiza lina sura mbaya hata yeye mwenyewe anaona aibu kwenda naye kwa daktari.