Mjadala mkubwa wa wanachama, washabiki na wapenzi wa Yanga waliopo JF (Wana Simba hawaruhusiwi)

GAZETI

JF-Expert Member
Feb 24, 2011
5,277
6,673
Nafikiri wote tumejionea hali ya Klabu mpaka kufikia hapa tulipo, Kufungwa
na kukosa ubingwa si jambo la ajabu. Kwa Yanga hii jambo la ajabu na aibu
ni mazingira tuliyonayo ambayo yanatufanya tufungwe kabla hatujaingia
uwanjani.

Kwa wadau mnaofahamu siri ya klabu na wale wenye mitazamo kuhusu uendeshaji
huu ni wakati muafaka kutoa maoni yenu ili tuweze kujua Yanga inakwama wapi?
Nini kifanyike ili kuinusuru Timu yetu?
(tafadhali wanasimba hamuruhusiwi kuchangia chochote hapa)


Mwenyekiti wa muda wa mjadala huu napendekeza awe Gang Chomba.
 
Vyura wameususia Uzi wako Kama walivyoisusia kandambili fc!

Kwa ufupi Mimi natamani njaaa iendelee mpaka msambaratike na timu lenu lifeee! Na mwakani lishuke daraja rasmi! Shuuubamit!

[HASHTAG]#Kima[/HASHTAG] wa Taifa#
Karibu Taifa jumatano ujifunze mechi za kimataifa...usivunge
 
Vyura wameususia Uzi wako Kama walivyoisusia kandambili fc!

Kwa ufupi Mimi natamani njaaa iendelee mpaka msambaratike na timu lenu lifeee! Na mwakani lishuke daraja rasmi! Shuuubamit!

[HASHTAG]#Kima[/HASHTAG] wa Taifa#
Mkuu Tuheshimiane Wenye Timu wanakuja huu mjadala haukuhusu.
 
Vyura wameususia Uzi wako Kama walivyoisusia kandambili fc!

Kwa ufupi Mimi natamani njaaa iendelee mpaka msambaratike na timu lenu lifeee! Na mwakani lishuke daraja rasmi! Shuuubamit!

[HASHTAG]#Kima[/HASHTAG] wa Taifa#
level zao ndondo Cup....na hiyo jumatano watafungwa tu.
 
hivi kile kilichofanyika jana mbeya viongozi wanasubiri nini kuikabidhi timu kwa wanachama? ikaundwa kamati ya muda, ila wasiwe hao kina akilimali!
 
Nafikiri wote tumejionea hali ya Klabu mpaka kufikia hapa tulipo, Kufungwa
na kukosa ubingwa si jambo la ajabu. Kwa Yanga hii jambo la ajabu na aibu
ni mazingira tuliyonayo ambayo yanatufanya tufungwe kabla hatujaingia
uwanjani.

Kwa wadau mnaofahamu siri ya klabu na wale wenye mitazamo kuhusu uendeshaji
huu ni wakati muafaka kutoa maoni yenu ili tuweze kujua Yanga inakwama wapi?
Nini kifanyike ili kuinusuru Timu yetu?
(tafadhali wanasimba hamuruhusiwi kuchangia chochote hapa)


Mwenyekiti wa muda wa mjadala huu napendekeza awe Gang Chomba.
@gazeti mjadala ukishawekwa JF ni wa wote ni ngumu mno kuwazuia wapinzani wasishiriki na by the way ushiriki wao unaweza kuwapeni mengi machache ama machache mengi ya faida
 
hivi kile kilichofanyika jana mbeya viongozi wanasubiri nini kuikabidhi timu kwa wanachama? ikaundwa kamati ya muda, ila wasiwe hao kina akilimali!
Kweli kabisa mkuu, uongozi umepoteza kabisa Dira, Yaani Yanga leo ifanane na
Ndanda?
 
@gazeti mjadala ukishawekwa JF ni wa wote ni ngumu mno kuwazuia wapinzani wasishiriki na by the way ushiriki wao unaweza kuwapeni mengi machache ama machache mengi ya faida
Wajue tu, Mjadala sio wao kama vipi wachungulie madirishani
na si kuingia ndani.
 
Mpira ni pesa mliwabeza Simba kuwekeza bil 1.3 matokeo ya uwekezaji mmeuona YANGA mmeshindwa hata kulipa mishahara kocha kawakimbia .
 
Viongozi wakamatwe na kuhojiwa na Takukuru kuhusu matumizi ya mapato ya timu.
 
Kwa ujumla timu inatakiwa iendeshwe kibiashara. Uwekezaji ufanyike katika kikosi, na nilishangaa watu walioibeza Simba kutenga 1.3B kwa mwaka katika kikosi tu. Fedha zitarudi kupitia ushiriki wenye mafanikio katika mashindano ya klabu za Africa. Mfano tulikosa 1.1B kwa kutolewa klabu bingwa, tena hicho ni mshiriki atakayekuwa wa mwisho katika kundi. Wadhamini wengine wakijazia zinaweza kufika zaidi ya 2B. Hapo timu itajiendesha bila kuweka roho kwa mtu mmoja
 
Nafikiri wote tumejionea hali ya Klabu mpaka kufikia hapa tulipo, Kufungwa
na kukosa ubingwa si jambo la ajabu. Kwa Yanga hii jambo la ajabu na aibu
ni mazingira tuliyonayo ambayo yanatufanya tufungwe kabla hatujaingia
uwanjani.

Kwa wadau mnaofahamu siri ya klabu na wale wenye mitazamo kuhusu uendeshaji
huu ni wakati muafaka kutoa maoni yenu ili tuweze kujua Yanga inakwama wapi?
Nini kifanyike ili kuinusuru Timu yetu?
(tafadhali wanasimba hamuruhusiwi kuchangia chochote hapa)


Mwenyekiti wa muda wa mjadala huu napendekeza awe Gang Chomba.
Kwa ujumla tusitafute mchawi. George Lwandamina alishatanabaisha nini kifanyike katika klabu ya Yanga. Kwa bahati mbaya hakuna aliyemsikiliza
 
Kwa ujumla tusitafute mchawi. George Lwandamina alishatanabaisha nini kifanyike katika klabu ya Yanga. Kwa bahati mbaya hakuna aliyemsikiliza
Mkuu ni vema ukatueleza hapa Japo kwa Ufupi Lwandamina alishauri
nini? Kina nani walimpinga?
 
Kuisifu Simba kufanya vizuri kwa sababu ya usajili wa bilioni 1.3 ni kupotoka. Ukweli ni kwamba kile si kikosi cha hicho kiasi cha fedha.

Simba amechukua kombe msimu huu si kwa sababu ina kikosi bora, bali ni kwa sababu ya ubovu wa washindani wake (hususani Yanga na Azam)

Back to the topic. Tatizo la Yanga ni kubwa kuliko usajili wa msimu unaokwisha, tatizo la Yanga mfumo mbovu wa kutegemea fedha za mtu ili kuendesha timu.
 
Back
Top Bottom