Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,564
- 7,973
Vyuo vikuu vinafanya biashara zaidi kuliko kuzingatia ubora wa wahitimu. Serikali imechangia sana kuwepo vya vyuo vikuu visivyokidhi vigezo.
Mathalani hivi karibuni ilitolewa taarifa na TCU kwamba vyuo vikuu vingi hasa vya binafsi havikidhi vigezo, kama wangefuata sheria vyuo hivyo vingefungwa. TCU imekubali kukiuka kwa sheria kwa faida ya nani?
Siasa nazo zinachangia sana kuvuruga mfumo wa elimu kwa viongozi kufanya maamuzi ya kutaka kuwahadaa na kuwafurahisha wananchi lakini kwa kufanya hivyo wanaharibu na kushusha ubora wa elimu, as a result wanakuwa incompetent na ajira kwa watu hawa inakuwa ngumu sana.
Mathalani hivi karibuni ilitolewa taarifa na TCU kwamba vyuo vikuu vingi hasa vya binafsi havikidhi vigezo, kama wangefuata sheria vyuo hivyo vingefungwa. TCU imekubali kukiuka kwa sheria kwa faida ya nani?
Siasa nazo zinachangia sana kuvuruga mfumo wa elimu kwa viongozi kufanya maamuzi ya kutaka kuwahadaa na kuwafurahisha wananchi lakini kwa kufanya hivyo wanaharibu na kushusha ubora wa elimu, as a result wanakuwa incompetent na ajira kwa watu hawa inakuwa ngumu sana.