Yahya Mohamed
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 270
- 317
Habari za Asubuhi Wadau, Jumapili ya leo Jukwaa la Siasa na Uchumi litaangazania Idadi kubwa ya wahitimu kutoka Taasisi mbalimbali Nchini ambao wapo majumbani hawajui nini la kufanya. Tutajadili kusaka chimbuko la tatizo hili,
Je ni sera mbovu
Ni mitazamo isiyokuwa na malengo ya wahitimu
Je ni mfumo wa siasa za Nchi au tatizo limejikita wapi?
Wageni
Grayson Nyakarungu - Mwanaharakati / CDM
Patrobas Katambi - Mwanaharakati
Fortunatus Ntakabanyula - MBA SAUT
Shaaban Itutu - ADC
Dr.Kitila Mkumbo - UDSM
Karibuni kwa Mjadala
Je ni sera mbovu
Ni mitazamo isiyokuwa na malengo ya wahitimu
Je ni mfumo wa siasa za Nchi au tatizo limejikita wapi?
Wageni
Grayson Nyakarungu - Mwanaharakati / CDM
Patrobas Katambi - Mwanaharakati
Fortunatus Ntakabanyula - MBA SAUT
Shaaban Itutu - ADC
Dr.Kitila Mkumbo - UDSM
Karibuni kwa Mjadala