Mbunge wa igunga,rostam aziz amesema dawa ya mchungaj mwasapile haitibu
source-jamboleo
Kwa maana hiyo hakuna hatammoja atakae pona, maana watu wote pamoja na Babu wamejaa zambiimani ndugu... Na dhambi kama uazo nyingi huponi
' but we jamaa tupe source or link
mwambie amtafute mheshimiwa Mrema ampe full hbr kuhusu hiyo dawa ndo atajua km inatibu au la!!!!!!mrema anakwambia c unaona ht nimeanza kutakata...........
Low thinkers utawafahau tu. Chuki zao zipo kila mahali, Hayo ni mawazo yake Rostam, si kila kitu mnakipeleka katika siasa. Mnona tunaambiwa Lowassa nae kapata kikombe na ametoa magari na nauli za kuwapeleka wapiga kura wake kwa babu?
Zaidi ya yote, mbona Kadinari PENGO wa RC, MWINGIRA wa EPHATA, KAKOBE wa FGBF, Askofu MUSHI wa KANISA HALISI LA AFRIKA na Gazeti la ANNUR wote wamemponda Babu? Kakobeamemuita Babu kuwa ni wakala wa Shetani na Mwingira amemlaani Babu!
Si kila kitu ni siasa. Kama hamuwezi kufikiri deeply, hameni JF
Utahama wewe humu JF, usiejua mwelekeo wa dunia unaenda wapi? Very low thinker..
Kwa sisi tulioona ndugu zetu wamepona,siwezi kuona watanzania wakipotoshwa na vidampa kama wewe na bosi wako ra. Kama hamna la kuongea ni vema mngekaa kimya,kuliko kutoa ushuzi wenu haf hadharani sasa
Jambo usilolijua n kama usiku wa giza,kaeni kimya punguzeni viherehere! Zaidi ya hapo ndio tunapokuja kuona ni mambo ya maslahi zaidi, kama vile kakobe amekosa waumini! Sasa ra hospitali zake zimekosa wagonjwa,nk nk. Na wewe kidampa Kauza umetumwa kwa njaa zako, nk
Huyu Jamaa na ufisadi wake hata kama akienda hakika hatapona....Hebu atupe ushahidi wa nani kaenda kwa Babu akapata kikombe na hajapona.