Kaka wa arusha nina shida kubwa ya kisukari. Nitafikaje kwa huyo mganga nikifika arusha?. Naomba msaada nina shida kubwa ya kisukari iko juu 32, nataka nimwone huyo mzee na mtumishi wa mungu
Kwa wale waliopo Arusha kuna magari yanatoka stand adi hapo kwa mchungaji. Nauli ni elfu sitini kwenda na kurudi. ANGALIZO: kwa wale wenye magari binafsi barabara ni mbaya sana. Gari za kufaa ni landcruse,landrover na yote ya aina hiyo. Ukiwa Arusha city watu wanaonda ni wengi so njia ya kwenda utafahamu.
Jumapili alfajiri yaliondoka magari zaidi ya 10 kupeleka wahitaji wa tiba hiyo!!!!
Kuna jamaa napiga nae mzigo hapa ofisi anasema yeye alimpeleka kid wake na amepona kabisa!!!
Vipi kama serikali ikaingilia kati.
Kwa kupitia wizara ya Afya wamtembelee na waingie nae contract. Basi asafirishwe aje aweke makao yake Muhimbili. kwa kuanzia Wamkabidhi Wodi ya Mwaisela.
Atakuwa anafanya pia round kule Ocean Road kwenye kansa.
Nadhani utakuwa mkataba mzuri kuliko yote ktk historia ya Tanzania huru!
Just attempting to think.
Sasa tunaipata vipi sisi tuliombali jamani tusaidieni kwabla hatujaumbuliwa na magonjwa,
Saidia baba!