Mjadala - Kitabu cha unyama wa Paul Kagame: Behind the Presidential Curtain: Inside Out of real Paul Kagame

ndugu yake na Museveni kivipi wakati huyo Saleh ni muislam na Museveni ni mkatoliki?
ndugu yake na Museveni kivipi wakati huyo Saleh ni muislam na Museveni ni mkatoliki?
General Salim Saleh (born Caleb Akandwanaho, 14 January 1960) is a high-ranking military officer in the Uganda People's Defence Force(UPDF), the armed forces of Uganda. He is a brother to the current President of Uganda, Yoweri Museveni

alibadili dini
 
General Salim Saleh (born Caleb Akandwanaho, 14 January 1960) is a high-ranking military officer in the Uganda People's Defence Force(UPDF), the armed forces of Uganda. He is a brother to the current President of Uganda, Yoweri Museveni

alibadili dini
acha uongo wako salim saleh na museven wamechangia mama, baba tofauti baba ake ni muislam. na museven ni mkristo. hivi hujui museven ana mtoto moshi na mama yake ni mchaga?
 
nimekuuliza swali unaniambia niweke ushahidi,hukumsikiarafiki yake kagame siku anapokea bombardier ya kwanza alichosema kuhusu kuleta vijana wa IT toka Rwanda ku operate ATCL?hilo la Rwanda kuwa na office special bandarini na kahama hulijui nalo?
Basi mkuu uzi ni mzuri tusiuharibu kwa malumbano yasiyo na afya
 
Ukurasa huohuo(73) mwandishi Marara anasema ingawa kuna watu walikufa kwenye hilo shambulizi hotelini wakiwa wanaangalia kombe la dunia, Kagame alikasirika sana sbabu halikwenda kama alivyo-plan sababu ya uzembe wa captain Kwizera liyekuwa amelewa hivyo akagiza fimbo za kutosha na alitoa Presidential Jeep yake kwenda kuchukua hizo fimbo, akwaagiza luteni Nkubito na Aimee Claude kumcharaza Kwizera fimbo 100, akashuhswa cheo na kuswekwa ndani baadaye akafukuzwa jeshini
Nahitaji copy ya hiki kitabu, napataje?
Saiz yupo wapi huyo mlinzi?

Kwaio saiz PK anakuwa karibu ma Pogba magu kuna kitu anakusudia?

Dumelang
hIYO NDO MAANA YAKE
 
******SIJUI WALE ''MAGWIJI'' WA INFORMATION TECHNOLOGY TOKA RWANDA WALIOOMBWA NA RAIS MAGUFULI WALISHAANZA KAZI HAPO ATCL? JAMANI TUKUMBUKE NA VIZAZI VIJAVYO TUACHE UBINAFSI TUSIWATENGENEZEE WATOTO WETU MA GENOCIDE YA AJABUAJABU,MTU MNAYE DEAL NAYE KASEMA ANAONDOKA MADARAKANI 2034 ISIJE IKAFIKA POINT TUKAWA KAMA CONGO REMOTELY CONTROLLED FROM KIGALI
INASIKITISHA

  • Rai
  • 14 Jul 2016
img

ERIKALI inayoongozwa na Rais John Magufuli inastahili kuonewa huruma, hasa na watu makini wanaoitakia mwisho mwema. Natoa wito huo kutokana na namna ambavyo inaongozwa kwa namna ya kipekee.
Ndiyo Serikali inayoomba kusaidiwa msaada ambao wanauwezo wa kuutatua, hata kuliko nchi wanayoiomba. Ni nchi pekee inayopewa misaada na nchi zilizoshindwa kuwamudu raia wake wenyewe kujikwamua katika lindi la umasikini.
Sababu kubwa iliyonichagiza kuandika kwenye safu hii, imechangiwa kwa kiasi kikubwa na msaada waliopewa Watanzania na India. Tanzania imepokea msaada kupitia Waziri Mkuu wa India, Narendra Modi, ambaye alikuwa nchini kwa ziara ya kiserkali ya siku mbili.
Ili kuimarisha ushirikiano kati ya nchi hizi mbili, India imeahidi kuisaidia Tanzania miradi mbali mbali ya maendeleo ikiwa ni pamoja na sekta za maji, kilimo, viwanda, teknolojia ya habari na mawasiliano na afya. Miradi ya maji yenye thamani ya Dola za Kimarekani milioni 92, itaifaidisha miji 17 katika mikoa ya Pwani, Dar es Salaam, na Zanzibar. Miradi yote hiyo inakadiriwa kugharimu Dola za Kimarekani milioni 92.
Mkataba mwingine unaohusisha mafunzo ya ufundi yatakayosaidia kuzalisha wataalamu mbali mbali. India pia imeahidi kuanzisha viwanda vya kutengeneza dawa za binadamu kwa ajili ya kutibu magonjwa mbalimbali kama malaria, figo na kisukari. Aidha India pia itaiwekeza Tanzaania kwenye viwanda, ikiwa ni pamoja na kiwanda cha tengeneza vifaa tiba kwa ajili ya hospitali mbalimbali nchini.
Msaada huu kwa Tanzania nakiri kwamba ni neema, kwani pia Wahindi wamefungua milango kwa Watanzania kwenda kuwekeza nchini India pamoja na biashara.
Rais Magufuli aliwata Watanzania kujikita katika kilimo cha biashara kwa mazao ya kunde, dengu na choroko kwa sababu kuna
pia kusikia Dk. Magufuli anaomba ushauri wa kufufua shirika la ndege Rwanda wakati Tanzania imeanzisha Shirika la Ndege mwaka 1977, Rwanda wakiwa hawana uwanja wala ndege hata moja.
soko kubwa India na wataweza kuuza mazao hayo moja kwa moja bila kupitia wakala.
Sababu ya kushirikiana na India katika suala la uwekezaji nayo inaacha maswali eti kwa sababu ni nchi ya tatu kwa uwekezaji lakini cha kuchekesha Tanzania ndiyo inayofuatiwa na Uingereza na China.
Inasikitisha kuona India ambayo inahesabiwa kuwa miongoni mwa nchi ambazo uchumi wake unakuwa lakini hadi sasa wananchi wake wanakabiliwa na hali ngumu ya maisha huku raia milioni 400 nchini humo hawana umeme.
Kuna mambo mengine ukiyasikia katika serikali ya Dk. Magufuli kama una akili unaishia kucheka na kupuuza.
Kioja hicho cha India ni muendelezo mwingine kwa serikali inayoongozwa na Dk. Magufuli cha kwanza kilikuwa ni kile cha rais kukiri kusaidiwa mawazo ya kiuchumi na Rais wa Rwanda, Paul Kagame.
Kwa mujibu wa Dk. Magufuli, amewaomba Rwanda na wamemkubalia kusaidia wataalamu wa kufufua shirika la Air Tanzania na kwamba wataleta jopo la wataalamu wa teknolojia.
Uamuzi huo wa Daktari Magufuli kuitaka Rwanda kutusaidia kwenye maendeleo ya Sayansi na Teknolojia ni dhihaki kwa wataalamu wetu.
Historia inaonyesha kwamba wataalamu wa kwanza wa Teknolojia Rwanda wamezalishwa mwaka 2001 wakati Tanzania ikiwa na wataalamu wengi wakiwa wakifanyakazi katika taasisi mbalimbali nje na ndani ya nchi.
Kwa ukweli huo naamini Rais Magufuli alianguka kusema hivyo na hakuwatendea haki wa wasomi wa Sayansi na Teknolojia nchini.
Naamini Daktari Magufuli alikosa la kuomba kushauriwa kwa sababu kama Rais alisahau kabisa kwamba hata Chuo Kikuu cha Sayansi na Technolojia cha Nelson Mandela kinachotegemewa na nchi zote za SADC kipo Arusha, Tanzania.
Inasikitisha pia kusikia Dk. Magufuli anaomba ushauri wa kufufua shirika la ndege Rwanda wakati Tanzania imeanzisha Shirika la Ndege mwaka 1977, Rwanda wakiwa hawana uwanja wala ndege hata moja.

Rais Magufuli hakutakiwa kuomba wataalamu wa sayansi na Teknolojia bali alitakiwa kutazama hasa wapi tulipojikwaa kama taifa ili aweze kupata suluhu.
Magufuli anatakiwa kujua kuwa katika ukanda wa Afrika Mashariki, Tanzania ndiyo inayoongoza kwa teknolojia katika ukanda wa Afrika Mashariki na hata katika usafiri wa anga Tanzania ndiyo yenye Rada ya kisasa kuliko nchi ukanda huo.
 
Saiz yupo wapi huyo mlinzi?

Kwaio saiz PK anakuwa karibu ma Pogba magu kuna kitu anakusudia?

Dumelang
Huyo pk inatakiwa apigwe marufuku ya kukanyaga bongo maana amempandikiza roho mbaya huyu mwenye bichwa ka korosho si mnaona wenyewe lilivyo na roho mbaya, sisi watanzania hatuna roho mbaya namna hiyo. Sasa pk yupo mbioni kung'olewa maana siku zake zinahesabika sasa huyu fala wetu kama hajifunzi itakula kwake.
 
Nimesoma hiki kitabu. Kinanifikirisha sana. Tushukuru sana Nyerere hakutaka kuwa na tamaa kama alizokuwa nazo Kagame. Hebu vuta hisia kama Nyerere angalikuwa angaliamua kupora vitu vya nchi tulizokuwa tuanzikomboa sasa hivi Tanzania ingelitazamwa kama ni Taifa la waporaji. Majeshi yetu yangalitumika kama Kagame anavyolitumia jeshi lake sijui hivi sasa tungeonekanaje kwa watu wa Msumbiji, Uganda, Zimbabwe, Namibia na Angola!
Kikubwa nilichokiona kumbe kuna viongozi inafika mahala utu unaondoka unabakia unyama (Marijani Rajabu, kwenye wimbo wake wa Dunia sasa imekwisha). Hivi siku Kagame atakapoondoka madarakani au duniani Bana Congo watamkumbuka kama Mkombozi au Mporaji?
 
wanaobisha kwamba jamaa haweki watu wake wajisomee hapa..ikumbukwe hata Rais Thisekedi sasa hivi kawekwa na kagame na kabila a.k.a Hypollite Kanambe,mnyarwanda aliyetawala miaka kadhaa nchi ya congo na kuipora atakavyo akishirikiana na kagame leo wamemuweka puppet wao Felix tshisekedi halafu mnabisha Kagame hapendi kuweka watu wake kwenye systems za nchi jirani?

According to his excellence Paul Kagame our aim was to fight the Hutu militias who were threatening to come back and kill the innocent civilians, however we crossed the border and headed to Kinshasha, but the so-called militias were hiding in the forests of Katanga region and equatorial. After the international community pressure, the Rwandese soldiers withdrew and we haven’t seen any militias attack Rwanda, so what else do we need to question the cause of the war that swiped a million of lives?6.2
Kagame’s next tactic in order to govern DRC During the past twenty years, millions of people have died this included the refugees who run away from their native Rwanda and the citizens of Congo, Soldiers from different countries fighting with the Congolese army and many rebel groups. They are fighting to control the land in order to manage the natural resources and reap the financial benefits. Since 1996, 25 rebel groups have been created in DRC and 16 out of the 25 were all created by Dr. Kagame.
Much of the fighting has taken place inthe mineral rich regions of north-eastern and eastern Congo where gold; diamonds, tin, and coltan can be found which are all used in manufacturing electronics.The instability in Central Africa has always been caused by Doctor Kagame and a few of his commanders.
After Dr. Kagame realised that his tactics had been detected by the United Nations followed by a number of warnings issued to Dr. Kagame from the western countries, he decided to change his logistical tactics.President Kagameordered his intelligence officers to relocate the demobilised soldiers to the Democratic Republic Congo in order to play a part in the local voting systems, hoping that these ex-service men would become local leaders and assist his regime in changing the eastern region to obey his system. He also ordered his intelligence staff that they need to use the RPF former carders, who are currently unemployed, to settle in the eastern region of Congo. He repeatedly urged his intelligence officers to work hand in hand with the Congolese authorities, most of the people are Banyamurenge’s who are Tutsi’s and speak Kinyarwanda.
 
Yeah ilo linajulikana,hata George Bush the second ana mtoto moshi,amezaa na mama mmoja marangu
acha uongo wako salim saleh na museven wamechangia mama, baba tofauti baba ake ni muislam. na museven ni mkristo. hivi hujui museven ana mtoto moshi na mama yake ni mchaga?
 
Jana nilitoa link ya ku download hiki kitabu, kwa ambao hawaja download ingia JF Store, wandugu naomba msome vizuri hicho kitabu baadaye turudi kwenye mjadala hapa maana niliyoyasoma yanasikitisha.

View attachment 1072722View attachment 1072723

Kumbe ndiyo maaana Museveni kamchoka,wanajuana nje ndani, na Kagame hizo tabia zake ni za hatari siye yule tunayemuona sisi, SO SAD.

Kitabu kina pages 110(hard copy)ila kwenye pc hapa inaniambia ni pages 302 ,kwenye page ya 71 tunaona kitu fulani kuhusu tabia ya Kagame(familiar )

--
--It was President Kagame himself who briefed his senior intelligence commanders to use the tactic of being friendly to those they were planning to kill, at some point they gave out sugar and salt, cooking oil and soap to the locals that our soldiers had looted from shops just to make them come out of the hiding only to be killed in the end.----

Ni kwamba mwaka 1992 katika mazungumzo ya amani Arusha,Rais Juvenal Habryimana alisema wakimbizi wa Rwanda walioko nje kurudi ni ngumu sababu hakuna ardhi ya kutosha kwa hiyo akawasambaza wahutu mipakani huko na kuwapa ardhi ili ionekane kweli pamejaa na pia sababu nyingine ilikuwa ni kuwapeleleza RPF waliokuwa wanavamia kutokea Uganda

So,trick ya Kagame ikawa ni kwenda kwenye vile vijiji na wanajeshi wake kujifanya marafiki zao wakiwapa sukari,chumvi,nguo,siku moja katika kijiji cha Kagitumba wakaitisha mkutano mkubwa wahutu wakajaa wake,waume kwa watoto,katikati ya mkutano askari wa RPF wakarusha risasi na mabomu ya kutosha wakaua maelfu ya wahutu.

Niko page ya 72 ila dah hadi hapo nilipofika jamaa aliua marafiki zake waliomsaidia kupindua nchi karibu 10 tena wenye vyeo vya juu jeshini akiwemo FRED RWIGEMA swahiba mkuu wa Museveni kiasi cha kusababisha mdogo wake Museveni meja Salim Salehe kwenda kuua mameja wawili wasio na hatia waliosingiziwa na Kagame kwa Musevni kwamba walimuua Rwigema

Jamaa alikuwa anawaogopa makamanda wa ukweli waliomtoa dikteta Habrayimana , walikuwa hawamkubali sababu hakupigana vita muda mwingi alikuwa masomoni Marekani alipopelekwa na Museveni.

Mwandishi anasema jamaa ana tabia ya kujifanya rafiki yako huku akikutafutia muda sahihi wa kufanya yake(does that sound familiar?

NAOMBA KUJUA WAPI NAEZA KUPATA KITABU HIKI?
 
Back
Top Bottom