PrinceLee
Senior Member
- Mar 1, 2007
- 169
- 165
Kwa kutia nyama kidogo Lora Nkunda yule alikuwa kiongozi wa M23 ni ndugu toka ntoke na Kagame.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uhasama wa Kikwete na Kagame ulianza pale Kikwete alipoingilia kati uvamizi wa majeshi ya M23 huko DRC mkuu. Kagame hakupenda kwa kuwa M23 walikuwa kule wakiiba madini ya Congo ndipo Kagame akamkejeli Kikwete kuwa atamtandika. Raisi Kikwete kipindi hicho akaona hii ni dharau iliyovuka mipaka kwanza M23 ilipigwa vibaya pia akaamuru Wanyarwanda wote walioko nchi kama wahamiaji haramu waondoke nchini. Kama umeshawahi kufika mkoa wa Kagera karibia asilimia 90 ya wafugaji wakubwa ni Wanyarwanda sasa ilikuwa ng'ombe wanauzwa hadi 20,000/= ili mradi ufike Rwanda. Wengi wa hawa watu walikuwa washaondoka Rwanda miaka mingi hata mimi na wewe hatujazaliwa lkn Kikwete hakuangalia hili. Fuatilia historia au uliza anayekuzidi umri atakuambia kuhusu hili kwani isingekuwa busara majeshi yetu yangevamia Rwanda
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app