Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 9,062
- 12,650
Nikitulia ntasoma vizur
Yameibuka tena huko dodomaHapa sasa yanatokea huku kuna kundi linaamini jiwe ni mungu mtu baadhi ya wabunge wameanza kampeni ya kumuongezea muda wanaopinga wanaitwa wasaliti jamaa anaiga mambo ya rwanda watanzania tuwe macho hapa sasa kuna funzo picha limeanza kuja
KwelHili ndo tatizo la kufanya maendeleo huku ukikandamiza uhuru wa watu hata ya uongo utatungiwa , kwakweli mimi nilifika kigali before 1990's na late 2000's kwakweli rwanda kunavutia mabadiliko ni makubwa sanaa kosa kubwa analolifanya jamaa ni kuminya uhuru wa watu kujieleza hakuna utawala bora ndo maana washirika wake wazamani wanakokotoa yale mabaya yote aliyoyafanya kipindi cha nyuma na kuyaexpose sasa hata hivyo huyu mzee ana roho mbaya sanaa kama mzee wetu huyu sema kutokana na ukubwa wa nchii huyu huyi anashindwa ila angekuwa na kanchii ka kuzungukwa kwa lisaa kama rwanda tungesaga meno , watawala wa kiafrika bado sanaa .kagame is silent killer hana tofoute na huu wetu. Ila mungu yupo ipo siku yake.
View attachment 1073689View attachment 1073690hawa nao wanadanganya?
Kizuri kula na nduguyo
Inamaana hujaona pdf attached,⁉️🤔Mkuu km una full book nisaidie
Wewe naona ndiyo Kagame mwenyewe hutaki tupate point kwenye uzi huu sasa haahhaahaaaaaaHivi kabla hamjaanza kushangilia yaliomo kwenye hicho kitabu mnamjua aliekiandika ni nani kwanza? Huyo jama Marara kweli alikua kati kikosi cha kumlinda raisi na alikua dereva katika miaka hio ya mwishoni 90's alikua anaendesha vifaru walivhoachiwa na UN kwa ajili ya usalama wa viongozi. Kwa vile alikua uneducated young man hakua anakaa na senior officers mpaka ahadisiwe kinachoendelea. Alitimuliwa jeshini na kukimbia nchi na huko ulaya aliko anatafuta attention tu watu kwani ameshakosana na aliokimbia nao wengi huko ughaibuni.
Sent using Jamii Forums mobile app