SaintErick
Member
- Aug 7, 2013
- 95
- 61
Ualimu upo hivi karibia pande zote za dunia. Pia mwanzoni kabisa, wakufunzi au walimu walikuwa ni watu wa kujitolea, ila hapo za hizo walikuwa wanaitwa wasimulizi. Walikuwa wanafundisha na kuelekeza watu maswala tofauti kwa kujitolea. Baadae ndiyo mifumo ikabadilika na kuanza kupewa motisha kama hizi za malipo.
Salam.
Nnashauri, mkiandika muwe mnatumia aya maana mkiunganisha maneno namna hii habari inakosa mvuto wa kuisoma.
Ualimu upo hivi karibia pande zote za dunia. Pia mwanzoni kabisa, wakufunzi au walimu walikuwa ni watu wa kujitolea, ila hapo za hizo walikuwa wanaitwa wasimulizi. Walikuwa wanafundisha na kuelekeza watu maswala tofauti kwa kujitolea. Baadae ndiyo mifumo ikabadilika na kuanza kupewa motisha kama hizi za malipo.
Sijajua hapa mwl hasa anayepigiwa kelele no yupi,maana kuanzia ngaz ya ukufunz was vyuo vya Cheri na dip kupanda wahadhir nama prof Wao s kama ss,sasa tunamlilia mwl yupi?pia nieendelee kwa utafit mdogo ndani ya wilay flank nloufanya exdentaly walim was msing baadh vyeti,si vyao engine ni div iv mbovu,ASA kwa kua ana mapungufu hawz dai khaki yake,niende mbali said afisa mmoja alisema ktk mgomo ambay vyet ni vyage agome,alikata main watu kweli,mtoa mada ni hay tu
Unaijua sheria yankwanza kabisa ya ualimu?? "UALIMU NI WITO" arguments zako zoote ziwe arround hii basic principle of ualimu ndo tuanze mjadala sasa..
Waalimu ni zao la waliofeli😕
fanya kazi mkuu kwa bidii jikomboe kiuchumi hayo mengine utajipa pressure tu