Tatizo mmoja hapo yupo off point na ni chawa.Mitandao ya kijamii inajitahidi sana kuelimisha watu katika maisha ya watu.Tazama jamaa anavyo chambua mambo ya msingi kuusu serikali yake.Ila uta kutana na mtu mmoja ana shabikia maanda mano lakini hajiu chochote.
Hivi wewe ni mtu au nyani?Yaani wewe ni mjinga- watu wanajadili masuala ya maana wewe unaleta ujinga