Mizuka mingine jamani..!!

Mizuka mingine jamani..!!

said rashid

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2011
Posts
203
Reaction score
113
Nilikuwa stationary jioni hii napata huduma, kagiza kalivyoingia ingia mara tu akaingia jamaa mmoja njemba kwa full confidence na mwendo wa fasta hadi kwa dada muhudumu. Akatoa buku akampa dada huku akiweka sura ya ukauzu macho chini kisha "nipe condom pakiti moja, zile zenye vipele vipele!". Sikumbuki hata walimalizana vipi, nilibaki na kicheko tu
 
Duh, inaonyesha ana macho magonjwa, japo hakuyaona maandishi lakini, pen, office glue, ruler nk vingemshitua.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom