ambokileambakisye
Member
- May 18, 2023
- 27
- 38
Watu wamekuwa ni wa kudidimizwa na mizigo ya kufeli kwao Kulingana na maisha yao hatimaye kukata tamaa na kupoteza kabisa nguvu ya kuthubutu katika miasha.
Leo basi kama mwana jamii kwa mtazamo wako au maoni yako katika makosa au kufeli kwa watu unatoa maoni gani wanapo anguka katika maisha.
Maana watu wamekuwa ni wa kukata tamaa sana na kuto kuendelea kusubutu katika maendeleo ya maisha .
"MAKOSA HAYAJA KUWA FUNZO KWA WATU WENGI BALI YAMEKUWA .......?"
Leo basi kama mwana jamii kwa mtazamo wako au maoni yako katika makosa au kufeli kwa watu unatoa maoni gani wanapo anguka katika maisha.
Maana watu wamekuwa ni wa kukata tamaa sana na kuto kuendelea kusubutu katika maendeleo ya maisha .
"MAKOSA HAYAJA KUWA FUNZO KWA WATU WENGI BALI YAMEKUWA .......?"