stan john Member Joined Feb 17, 2022 Posts 86 Reaction score 92 Jun 12, 2026 #1 Habari, Nahitaji mizani kwa ajiri ya kupima vitu vya dukani naomba kujua Bei yake na wapi wanauza nipate mizani nipo dar mabibo.
Habari, Nahitaji mizani kwa ajiri ya kupima vitu vya dukani naomba kujua Bei yake na wapi wanauza nipate mizani nipo dar mabibo.
Half american JF-Expert Member Joined Sep 21, 2018 Posts 45,800 Reaction score 113,356 Jun 15, 2026 #2 Kariakoo bei 120,000/= certified