Mivutano yaanza kuzuka ndani ya UKAWA

Huyu Mwanadiwani ni mganga wa kienyeji? Maana hii huwezi kusema kama ni habari, majungu au ramli. Habari za ndani, viongozi wawili, n.k. Habari za ndani wapi? Hao viongozi wawili ni akina nani? Upuuzi mtupu, leta kitu kinachoeleweka ili watu wajadili, siyo hizi riwaya za abunuwasi.

Wanaotaka kurudi na warudi tunajua washanunnuliwa na manyani wenzao, UKAWA itaendelea kuwepo
 
UKAWA walifanya mkutano wao wa kwanza mjini Zanzibar juzi.-Hivi ni mji wa Zanzibar au Unguja? Habari Leo nijibuni!
 

We mpuuzi badala ya kushugulika na shida za wananchi uko busy na UKAWA. Mfano Leo hii toka asubuhi watu hatuna umeme na nyie MaCCM mlisema mgao wa umeme kuwa historia. Hivi mnadhani tutaendelea kushobokea siasa zenu wakati hospitali ya wilaya ya Kilosa haina hata Panadol na wajawazito wanabebwa na bodaboda?
 
siasa za bongo unaweza ukapata kichaa..
 

Interahamwe at work
 
Source: habari leo gazeti la ccm

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Mbunge yeyote atakayerejea bungeni kuungana na mainterahamwe kwenye bunge lao la katiba, atakuwa anawakilisha tumbo binafsi ili kufukuzia mshiko wa 300000 kwa siku na sio maslahi ya umma!
 
Huyu Mwanadiwani kwa story za kubuni ndiye mwenyewe. Anatujazia server bure. Nafikiria kumpeleka kwenye ignore list yangu kwani sasa nimechoka kusoma uharo wake hapa.

Tiba

Chanzo cha habari ni gazeti makini linalomilikiwa na serikali, HABARI LEO, na sio mwanadiwani.
 
Huo muda woote uliopoteza kutunga hadithi yako si bora ungetumia kujichua.
 
Kuweweseka huku kunatokana na nini, kama sio uoga? Mwanzoni ilikuwa jeshi linatoa nchi, Mara Oman imejiandaa kurejesha dola ya usultani Pemba, hoja iliyouibuliwa na kudaiwa kudhihirishwa na maelezo ya Bw Duni. Mara kule kanisani Lukuvi akadai uamsho utachukua fursa huko Unguja. Bungeni Sita Akadai eti UKAWA wamerudi bungeni ila ukumbini hawakuwa wameingia kwani walikuwa dirishani wakiwinda posho! Sasa eti UKAWA una ufa!
 

Ndug yangu hoja ya msingi hapa si kwenda bungeni kwa kuwa waenfe ama wasiende ,katiba mpya haiwezi kupatikana na suala hili ni aibu kwa Kikwete!
Hoja hapa uchaguzi ujao utafanyika kwa mazingira gani??
Je CCM watapona mtikisiko wa kung'olewa??
 
Unajaza server kwa kuandika mambo ambayo tumeyaweka kando kwasas habari kuu ni Bajeti kama umelipwa ili uwe unaandika habari za UKAWA kila siku tumezichoka.

Ndugu, wewe uko hapa pia unajadili UKAWA halafu unaanza kulalamika kama wanaJF wengine ndiyo wanajikita katika mambo ya Katiba.

Unatakiwa uanzishe mjadala kama unadhani kuna jambo ambalo ni muhimu katika fikra zako zaidi ya mjadala wa Katiba.
 
Huyu Mwanadiwani kwa story za kubuni ndiye mwenyewe. Anatujazia server bure. Nafikiria kumpeleka kwenye ignore list yangu kwani sasa nimechoka kusoma uharo wake hapa.

Tiba
Ndugu, Nidhani hujaisoma habari yote na kama umeisoma yote ungegundua kama hii ni habari kutoka gazeti la kitaifa la Habarileo.
 
Vyombo vya habari vya serikali vinatumika vibaya na ccm. Hii inaonyesha jinsi gani kodi za wananchi zinatumika kwa manufaa kwa wachache. Vipo kimasilai kwa chama tawala. Ndio vyombo vya propaganda kwa ccm
 
Jaman tuwe wakweli ccm wanatutukana wananchi.ile ni katiba ya watu wote sio ya ccm
 
Ndugu, Nidhani hujaisoma habari yote na kama umeisoma yote ungegundua kama hii ni habari kutoka gazeti la kitaifa la Habarileo.

Habari leo ni gazeti au toilet paper ya choon!!? Si ndio hilo lilileta habari ya gari la mbowe halafu maofisa usalama kenya wakakanusha au sio??? Hilo ni gazeti linalo somwa na machangu na mashangingi wa ccm wala rushwa wakubwa na wauza madawa ya kulevya nadhan hata wahariri wake ni wale wana popelewa 0713 na viongozi wa ccm ndio mana hata haliuzikagi hilo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…