Miundo mbinu ya barabara za rwanda

baiser

JF-Expert Member
Dec 29, 2014
1,456
2,181
Viongozi na watanzania kuna jambo la kujifunza kutoka nchi jirani ya rwanda

Barabara zao ni nzuri na hazina matuta
Camera zimewekwa barabarani ilii watu waendeshe kwa kufuata sheria
Boda boda zao zote waendeshaji wanavaa helmet pamoja na abiria wao na pia pikipiki hazijatolewa side mirror kama za boda boda wa bongo
Mwendo wa boda boda ni wa kiusalama zaidi na hakuna anayevunja sheria za barabarani ,sio kama bongo boda boda anapita tu kwenye mataa na hayajamruhusu kupita
Kifufupi tunalo la kujifunza kwa hawa wenzetu ,ukipanda boda boda jiji la dar es salaam na ukafika salama unamshukuru Mungu lakini jiji la Kigali una uhakika wa kufika salama
Viongozi wa Tanzania na watanzania sio vibaya tukaiga mazuri ya wenzetu
 
Hii Rwanda sifa mnazoipa zinafanya nianze kuona mnaipa sifa zisizo zake,
mjinga hapend kujifunzq badala yake anataman aliye juu aonekane yupo chini kama yeye ila welevu kama China waliiga mazur leo wapo juu zaidi , BADAKA YA KUPIMA SIFA ZAKE BASI PAMBANA UJE UPEWE WW SIFA NA SIO KUENDELEA KULALA TU
 
Hii Rwanda sifa mnazoipa zinafanya nianze kuona mnaipa sifa zisizo zake,
Kwenye miundo mbinu mimi nimezungumzia hasa kwenye jiji la Kigali ambalo niseme ni sawa na dar es salamaa kwetu ,aise wamejipanga na magari yanatembea kwa nidhamu ,
 
Kwenye miundo mbinu mimi nimezungumzia hasa kwenye jiji la Kigali ambalo niseme ni sawa na dar es salamaa kwetu ,aise wamejipanga na magari yanatembea kwa nidhamu ,
Yani unafananisha Kigali kisehemu kama mwenge na jiji Zima la Dar es Salaam 🤔 alafu hii Rwanda yenye ukubwa sawa na kigamboni mnatukosea heshima kuifananisha na Tanzania
 
Viongozi na watanzania kuna jambo la kujifunza kutoka nchi jirani ya rwanda

Barabara zao ni nzuri na hazina matuta
Camera zimewekwa barabarani ilii watu waendeshe kwa kufuata sheria
Boda boda zao zote waendeshaji wanavaa helmet pamoja na abiria wao na pia pikipiki hazijatolewa side mirror kama za boda boda wa bongo
Mwendo wa boda boda ni wa kiusalama zaidi na hakuna anayevunja sheria za barabarani ,sio kama bongo boda boda anapita tu kwenye mataa na hayajamruhusu kupita
Kifufupi tunalo la kujifunza kwa hawa wenzetu ,ukipanda boda boda jiji la dar es salaam na ukafika salama unamshukuru Mungu lakini jiji la Kigali una uhakika wa kufika salama
Viongozi wa Tanzania na watanzania sio vibaya tukaiga mazuri ya wenzetu
Unadhani hapa bongo tunashindwa kufanya vitu kwa ustaarabu na utaratibu? Sisi tunamapuuza ndio tatizo la watanzania na serikali yetu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom