Miujiza ya CASSINI: Chombo cha utafiti wa anga la mbali kilichovunja rekodi ya mafanikio

Embu jaribu Ku Google na hii kitu
"Voyager-1 na Voyager-2" hizi setillite zimerushwa toka mwaka 1977 mpaka mwaka Jana zilikuwa bado zinatuma signals kwenye kituo cha NASA ziko mbali sana toka duniani Voyager-1 iko km 17b na V-2 iko km 14b kutoka duniani yaani zimeisha ondoka kwenye mfumo wa jua na wana estimates nguvu/power ya nuclear inaweza isha kabisa ifikapo 2025.......Embu jaribu kufuatilia miujiza ya hizi setillite mbili uone.
Voyager-1 ndani yake INA "Golden Records" ni disc ambayo INA milio toka tofauti toka duniani
(1.)Kuna za wanayama
(2.)Rais wa USA wa muda huo
(3.)Mtoto analia
>>lengo la hizi sauti ilikuwa ni utambulisho kama huko kwenye space kuna viumbe hai viweze tambua kuwa kuna sehemu kuna viumbe hai pia.
 
Embu jaribu Ku Google na hii kitu
"Voyager-1 na Voyager-2" hizi setillite zimerushwa toka mwaka 1977 mpaka mwaka Jana zilikuwa bado zinatuma signals kwenye kituo cha NASA ziko mbali sana toka duniani Voyager-1 iko km 17b na V-2 iko km 14b kutoka duniani yaani zimeisha ondoka kwenye mfumo wa jua na wana estimates nguvu/power ya nuclear inaweza isha kabisa ifikapo 2025.......Embu jaribu kufuatilia miujiza ya hizi setillite mbili uone.
Voyager-1 ndani yake INA "Golden Records" ni disc ambayo INA milio toka tofauti toka duniani
(1.)Kuna za wanayama
(2.)Rais wa USA wa muda huo
(3.)Mtoto analia
>>lengo la hizi sauti ilikuwa ni utambulisho kama huko kwenye space kuna viumbe hai viweze tambua kuwa kuna sehemu kuna viumbe hai pia.

Asante mno!
 
Voyager-1 & 2 missions zao zilikuwa za miaka mitano na zilikuwa kwa Sayari za Jupiter and Saturn na mwezi wake Titan(ambayo CASSINI ndo ilikuwa assigned) lakini Voyager 1&2 wakajikuta wanaenda extra miles kwa Ku extend missions zao katika sayari za Uranus and Neptune includes na miezi yao........sasa hapa ni yupi kafanya kazi kwa mafanikio zaidi?
Kwa kifupi Voyager 1&2 tunaweza sema kwa KIHERE HERE chao wame over performed.... Mkuu.
 
Nashukuru kwa article. Mimi siku hiyo nilikaa nasuburi kwenye Geographical channel wapi. Walikuwa wakituaminisha tutaona lakini mpaka leo bado. Thanks a lot. Tusubiri tuone kama soon tutaonyeshwa cassini ilivyodead. Na mimi ni mfuatiliaji wa mambo ya anga nimeishaenda hata kuona zile Appolo zilizoenda zikarudi na mme wangu ana Telescopes hivyo tumekuwa tukiona hata nje ya Galaxy yetu. Big up.
 
Shida ninayoipata ni uhalisia WA hizo picha ambao unazionyesha kua sio real Bali zimechorwa katika mifumo ya computer
Hii ndio inawafanya wanaopinga dunia kua flat waone kua wanasayansi hawasemi ukweli WA sayari zetu.
 
Nimekimbilia ku-like kwanza na ku-subscribe huu uzi maana nimesoma mpaka mwisho sijaelewa hasa ni akili imechoka ama nini maana sijaelewa kabisa yani,nikitulia nitaipitia tena hii post ila mkuu nikushukuru kwa uzi huu nadhan nitatoka na kitu hapa.
 
Mkuu Voyagers wamefanya uchunguzi mkubwa mno nachoweza kuungana na ww labda uniambie Cassini mission yake kuu ilikuwa ni kufuatilia uchunguzi wa Voyager 1&2 in details na ukiangalia Cassini kapita humo humo kwenye ugunduzi wa Voyager 1&2 haya ni baadhi ya ugunduzi wa V 1&2
(a)
(1.) Baada ya Galileo kugundua Sayari ya Saturn na rings zanke.....V 1 ndo ilitoa structure halisi ya Sayari ya Saturn pamoja na kile kinachoonekana ni rings(barafu,mchanga na miamba)
(2.)Kuna barafu katika baadhi ya miezi ya Sayari Saturn kama Titan
(3.)Chemicals zinazopatikana katika mwezi wa Titan ni kama za duniani na huo mwezi una hali ya kusupport uhai kwa viumbe wa duniani
(4.)Mwezi wa Jupita Io una active Volcanic activities
(5.)Katika outer space kuna eneo ambalo kuna high solar Magnetic field ambazo ziko very powerfully
(6.)Saturn ina karibia miezi 60 iliyo maarufu ni 6
(7.)Moja kati ya hiyo miezi 6 atmosphere yake INA milipuko ya Nitrogen gas
(b)suala la V1 &2 kuwa na signal ndogo(kutufikia duniani baada ya masaa 17) hilo ni la kawaida ukizingatia
(1.) umri wa V 1&2
(2.)Umbali toka duniani
(3.)Teknolojia(V1&2 zimetengenezwa miaka ya 70s)
(C) Naamini V1&2 zingeleta ugunduzi wa hatari zaidi kama Camera zao zisingekuwa shut down ili Ku conserve energy.
 
Voyeger 1
FB_IMG_1614095204653.jpg


Sent from my ACCESS55 Pro using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom