Honest One
JF-Expert Member
- May 12, 2017
- 235
- 274
Habar za asubuhi wadau,mi mgeni kidogo hapa Dar.Baada ya kukaa muda wa miaka 2 bila ajira,imenibidi nitoke kijijin nije huku Dar ninunue mitumba ya Grade A ili niipeleke huko kijijini kuuza.Mtaji wangu ni laki tatu.Ninaomba mnielekeze wapi naweza pata mzigo.Hapa nilipofikia kwa ndugu wanadai hawajui hayo mambo kwa kuwa wana kazi za maana kwa hiyo inabidi niangaike mwenyewe.Ushauri wenu pia nitaupokea,naomba tusaidiane jamani