Katika hizo gari 2, Mitsubishi Canter ndio chuma na sio Dyna. kwa sababu ifuatayo
Canter ya 2Ton inuwezo wa kubeba mzigo wa 5 tons na ikapanda mlima kama haina akili nzuri ila dyna haiwezi. Dyna ya 2 t ukiweka mzigo wa 3 ton haiwezi kupanda mlima. pia canter ya 3 ton inaweza kubeba mzigo wa 8 ton na ikapanda mlima na ikafika bila tatizo. mzee vipi uoni canter zilivyozagaa hapa bongo ni kwa ajili hiyo canter ni chuma ni gari ya kazi ila iwe ya Diesel.
Kwa mimi nikianbiwa nikuchagulie gari ningekuchagulia canter,lakini itategemea na mkwanja wako unalusuje kupata canter,kwenye dyna tatizo lake kubwa ni breki kwani ukiwa nalo wala haliitaji sifa za kukimbia maana muda wowote mtakufa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.