kalachai
Member
- Jul 4, 2021
- 76
- 110
Mambo zenu wakuu natumain mnaendelea vyema na majukumu yenu ya kila siku ya kulijenga taifa letu ,,,,,
Nilikuwa naomba kama kuna yeyote ambae atakuwa na aya material anisaidie tafadhar ninashida nayo sanaa nahitaji kujipima kama naelewa nachokisoma hasa hasa ya second year
Nitashukuru kama mkinisaidia ndugu zangu
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Nilikuwa naomba kama kuna yeyote ambae atakuwa na aya material anisaidie tafadhar ninashida nayo sanaa nahitaji kujipima kama naelewa nachokisoma hasa hasa ya second year
Nitashukuru kama mkinisaidia ndugu zangu
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app