Hardwaycomes
JF-Expert Member
- Dec 26, 2018
- 370
- 494
Nina 50,000 tu ghafla nimepokea taarifa tatu zote zinataka pesa, nitoe kwa nani na nimuache nani?
1. Mama mzazi anahitaji pesa aweze kuhudhuria msiba wa mke wa kaka yake
2. Mtoto wangu anatakiwa kulipiwa nauli ya shule (school bus),muda umefika
3. Ninamsomesha mtoto wa kaka yangu (alishafariki) hivyo nilibeba jukumu la kumsomesha kuyajenga maisha yake, anaumwa na amelazwa hana pesa ya matumizi
Nitatue lipi na niache lipi?
1. Mama mzazi anahitaji pesa aweze kuhudhuria msiba wa mke wa kaka yake
2. Mtoto wangu anatakiwa kulipiwa nauli ya shule (school bus),muda umefika
3. Ninamsomesha mtoto wa kaka yangu (alishafariki) hivyo nilibeba jukumu la kumsomesha kuyajenga maisha yake, anaumwa na amelazwa hana pesa ya matumizi
Nitatue lipi na niache lipi?