miti ya miashoki haikui kwa nini?

miti ya miashoki haikui kwa nini?

joely

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2010
Posts
1,055
Reaction score
576
naomba msaada kwa yeyeote mwenye uelewa, mimi nimepanda miti ya miashuki kuzunguka plot yangu lkn ukuaji wake haulizishi kabisa , sasa ni miaka minne lkn mti mkubwa una mita moja na nusu na mingine mini hata mita moja haijafikia.
mwenye utaalam wa nini nifanye tafadhali nijulishe
 
Eneo lako ulilootesha lina mwanga wa kutosheleza mkuu??
 
Eneo lako ulilootesha lina mwanga wa kutosheleza mkuu??

lina mwanga wa kutosha sana ni maeneo ya mbezi, ukiongezea na miinuko na ukubwa wa kiwanja ni 45m kwa 50m, kuna nyumba moja tu, majirani hawajanibana kabisa.
nafikiri kwa maelezo hayo ni wazi kuwa pako wazi
 
Inakua, lakini ni taratiiibu sana...

"Ukifuga njiwa utajua bei ya mtama"
 
Back
Top Bottom