naomba msaada kwa yeyeote mwenye uelewa, mimi nimepanda miti ya miashuki kuzunguka plot yangu lkn ukuaji wake haulizishi kabisa , sasa ni miaka minne lkn mti mkubwa una mita moja na nusu na mingine mini hata mita moja haijafikia.
mwenye utaalam wa nini nifanye tafadhali nijulishe
mwenye utaalam wa nini nifanye tafadhali nijulishe