Miti ya Barabara ya Sam Nujoma kwishnei! ndiyo tumeliwa?

Plan ya ujenzi wa hii barabara ilikuwa iwe na miti, lakini hilo halikufanyika ndio maana ikabidi zima-moto alternative kwa ajili ya World Economoc forum. Sasa tuulize nani alicomission hiyo barabara bila kukamilika!!!??
 
miti imekauka baada ya kuwekwa picha za kikwete na hawa ngumbi pamoja na mwakinginda kwani miti ile haiwatambui ni sehemu ya mgomo baridi
 
Acheni kumdhalilisha mpigania Uhuru wa Namibia, hii sio Miti ya Sam Nujoma - Ni Miti ya/iliyopo Barabara ya Sam Nujoma!
 
Inkoskaz
Miti ya Sam Nujoma.the one behind this ubadilifu huu ni Lukuvi.Lukuvi alipewa Proposal on how to beautify the city.alipelekewa proposed Dsm with palm trees and gardens including Samnjoma road design.Twiga cement walikubali kusponsor Mradi huo wa kupanda Palms barabara ile after being satisfied with the Proposal.baada ya Lukuvi kuona kuwa apati 10% akahamua kufanya yeye ili apate mgao.well ikiwa hivyo..milipofika muda wa kununua hiyo miti akataka kuinunua toka kwa wale waliompelekea first proposal ambao wana over 5000+ palms trees kwenye stock yao,jamaa wakamwambia kama umekataa kufanya na sisi,atukuuzii miti yetu.toka katafute miti yako upande,Lukuvi akawa na presha ya kumaliza upandaji wa miti kabla ya mkutano.ikawa ana jinsi akaanza pita mitaa ya mbezi beach anatafuta mipalm nyumba adi nyumba mpaka kwa laki 6 kwa mti,wapo waliokubali na waliogoma kumwuhuzia.but yeye mti mmoja ameiuzia serikali zaid ya million 3 wakati proposed price was laki 2.lakini akaambiwa na wale wakwanza kuwa miti hii will die kabla ya this december.ALL FILE LA MADUDU YA LUKUVI JUU YA HILI LA SAM NJOMA na MENGINEYO REGARD WASTE MANAGEMENT FOR DSM lipo ni PM if you want see It
 
Inkoskaz
Miti ya Sam Nujoma.the one behind this ubadilifu huu ni Lukuvi.Lukuvi alipewa Proposal on how to beautify the city.alipelekewa proposed Dsm with palm trees and gardens including Samnjoma road design.Twiga cement walikubali kusponsor Mradi huo wa kupanda Palms barabara ile after being satisfied with the Proposal.baada ya Lukuvi kuona kuwa apati 10% akahamua kufanya yeye ili apate mgao.well ikiwa hivyo..milipofika muda wa kununua hiyo miti akataka kuinunua toka kwa wale waliompelekea first proposal ambao wana over 5000+ palms trees kwenye stock yao,jamaa wakamwambia kama umekataa kufanya na sisi,atukuuzii miti yetu.toka katafute miti yako upande,Lukuvi akawa na presha ya kumaliza upandaji wa miti kabla ya mkutano.ikawa ana jinsi akaanza pita mitaa ya mbezi beach anatafuta mipalm nyumba adi nyumba mpaka kwa laki 6 kwa mti,wapo waliokubali na waliogoma kumwuhuzia.but yeye mti mmoja ameiuzia serikali zaid ya million 3 wakati proposed price was laki 2.lakini akaambiwa na wale wakwanza kuwa miti hii will die kabla ya this december.ALL FILE LA MADUDU YA LUKUVI JUU YA HILI LA SAM NJOMA na MENGINEYO REGARD WASTE MANAGEMENT FOR DSM lipo ni PM if you want see It

limwage hapa jamvini
 
wewe ni mkazi wa sinza weye, nambie mpwa diwani babu chaliiiiiiiiiii, mbunge bibi chaliiiiiiiiiiiii
 
Inkoskaz
Miti ya Sam Nujoma.the one behind this ubadilifu huu ni Lukuvi.Lukuvi alipewa Proposal on how to beautify the city.alipelekewa proposed Dsm with palm trees and gardens including Samnjoma road design.Twiga cement walikubali kusponsor Mradi huo wa kupanda Palms barabara ile after being satisfied with the Proposal.baada ya Lukuvi kuona kuwa apati 10% akahamua kufanya yeye ili apate mgao.well ikiwa hivyo..milipofika muda wa kununua hiyo miti akataka kuinunua toka kwa wale waliompelekea first proposal ambao wana over 5000+ palms trees kwenye stock yao,jamaa wakamwambia kama umekataa kufanya na sisi,atukuuzii miti yetu.toka katafute miti yako upande,Lukuvi akawa na presha ya kumaliza upandaji wa miti kabla ya mkutano.ikawa ana jinsi akaanza pita mitaa ya mbezi beach anatafuta mipalm nyumba adi nyumba mpaka kwa laki 6 kwa mti,wapo waliokubali na waliogoma kumwuhuzia.but yeye mti mmoja ameiuzia serikali zaid ya million 3 wakati proposed price was laki 2.lakini akaambiwa na wale wakwanza kuwa miti hii will die kabla ya this december.ALL FILE LA MADUDU YA LUKUVI JUU YA HILI LA SAM NJOMA na MENGINEYO REGARD WASTE MANAGEMENT FOR DSM lipo ni PM if you want see It
Right on!! Unajua daima idea za mtu mmoja hazifanyi kazi kwa mtu mwingine aliyeziiba! Implementation yake (ya idea za mtu mwingine) itafanya kazi kwa muda mfupi sana au haitafanikiwa kabisa! Ndio maana siku hizi bongo ni vizuri ukiwa na idea yako itafutie namna uisajili ili uweze kumshitaki mtu yeyote atakayeweza kuiiba kwa namna moja au nyingine.

Mifano namna hii ni lukuki: Mr II aka Mheshimiwa Sugu na mradi wake wa Malaria No More uliyekuwa hijacked na Ruge, January et al; Lucy Komba na bongo movie yake Surprise iliyokuwa plagiarized na Vincent Kigosi, stupidly enough calling it the same name (Lucy Komba changed the name of her movie once she found out - kamshitaki mahakamani na kumbe Lucy aliisajili na baraza husika!)

Nye, tui naalio!!!
 
Mdau Chipukizi nashukuru sana kwa kutumwagia ukweli hapo nitapitia PM nione zaidi ila kwa kweli inauma sana hasa ukichukulia nchi hii wanaotabika ni wengi na hawajui kinachoendelea...
 
Inkoskaz
Miti ya Sam Nujoma.the one behind this ubadilifu huu ni Lukuvi.Lukuvi alipewa Proposal on how to beautify the city.alipelekewa proposed Dsm with palm trees and gardens including Samnjoma road design.Twiga cement walikubali kusponsor Mradi huo wa kupanda Palms barabara ile after being satisfied with the Proposal.baada ya Lukuvi kuona kuwa apati 10% akahamua kufanya yeye ili apate mgao.well ikiwa hivyo..milipofika muda wa kununua hiyo miti akataka kuinunua toka kwa wale waliompelekea first proposal ambao wana over 5000+ palms trees kwenye stock yao,jamaa wakamwambia kama umekataa kufanya na sisi,atukuuzii miti yetu.toka katafute miti yako upande,Lukuvi akawa na presha ya kumaliza upandaji wa miti kabla ya mkutano.ikawa ana jinsi akaanza pita mitaa ya mbezi beach anatafuta mipalm nyumba adi nyumba mpaka kwa laki 6 kwa mti,wapo waliokubali na waliogoma kumwuhuzia.but yeye mti mmoja ameiuzia serikali zaid ya million 3 wakati proposed price was laki 2.lakini akaambiwa na wale wakwanza kuwa miti hii will die kabla ya this december.ALL FILE LA MADUDU YA LUKUVI JUU YA HILI LA SAM NJOMA na MENGINEYO REGARD WASTE MANAGEMENT FOR DSM lipo ni PM if you want see It
Lukuvi ndo huyoooo uwaziri basi mambo yanaisha kimya kimya hamna kivuli cha kumfuata!!!
 
Natambua kuwa huyu mwakin,ginda angeiuza tena hiyo miti kwani kwa tabia zake za kuuza open space ndiyo maana hiyo miti iliamua kujikausha
baada ya kuona amegombea tena kwani huko c.c.m hawakuwa wogombea wengine? hayo ni
majibu ya mungu kwa mwaki,nginda kafa yeye na miti.
 
Hawa sisiem ni hatari tuanze mapema kuwaelimisha wenzetu ambao wana vichwa vya chuma
kwa 2015 kwani vinginevyo tutateseka mpk mwisho wa dunia hawa sisiem ni hatari kushinda wairaq
 
Ilikuwa ni halali yao pita sinza barabara za street ni kama njia za ngo,mbe nani awape ulaji hawa wahuni
walileta magari ya taka mitaa yote kipindi cha uchaguzi toka city lakini leo kuna taka zipo toka siku ile ya uchaguzi mpk leo hao ndio sisiem
ni kama wairaq kaka
 
Inkoskaz
Miti ya Sam Nujoma.the one behind this ubadilifu huu ni Lukuvi.Lukuvi alipewa Proposal on how to beautify the city.alipelekewa proposed Dsm with palm trees and gardens including Samnjoma road design.Twiga cement walikubali kusponsor Mradi huo wa kupanda Palms barabara ile after being satisfied with the Proposal.baada ya Lukuvi kuona kuwa apati 10% akahamua kufanya yeye ili apate mgao.well ikiwa hivyo..milipofika muda wa kununua hiyo miti akataka kuinunua toka kwa wale waliompelekea first proposal ambao wana over 5000+ palms trees kwenye stock yao,jamaa wakamwambia kama umekataa kufanya na sisi,atukuuzii miti yetu.toka katafute miti yako upande,Lukuvi akawa na presha ya kumaliza upandaji wa miti kabla ya mkutano.ikawa ana jinsi akaanza pita mitaa ya mbezi beach anatafuta mipalm nyumba adi nyumba mpaka kwa laki 6 kwa mti,wapo waliokubali na waliogoma kumwuhuzia.but yeye mti mmoja ameiuzia serikali zaid ya million 3 wakati propos TUFANYEJE SASA HAWA HAWATATOKA 2005 NILIJUA MTOTO WA NYERERE KAKAMATA NCHI LAKINI ALIKUTANA NA WALOHO WAKAMBADIRISHA KAWA KAMA WAO HAPA TUKAZE BOOT MATESO ZAIDI YANAKUJA
 
kwani nyinyi mlichotaka ni miti yenye rutuba na inayokua au mlitaka miti yenye kupendezesha macho kwa ajili ya tukio tu? Au hakumjua ipo hadi miti ya Kichina?
 
kwani nyinyi mlichotaka ni miti yenye rutuba na inayokua au mlitaka miti yenye kupendezesha macho kwa ajili ya tukio tu? Au hakumjua ipo hadi miti ya Kichina?
mkuu hata hiyo ya kichina isingewaka maana umeme hakuna,na ingewaka ingetumalizia units na sidhani kama vibaka wangeiacha
 
Huyu lukuvi anazungumzwa sana kwa ufisadi. Kwamba ana tabia ya kuingilia miradi ya manispaa akiona inaweza kumpatia ulaji. Halafu kazawadiwa uwaziri.

Naomba manispaa za Dar mtujuze kuhusu hizi taarifa kama ni za kweli kwamba lukuvi ni fisadi.

Kwa mfano, hadi leo sijajua alirudisha viwanja vungapi vya wazi alipofunga ofisi ya ardhi kinondoni.
 
Inkoskaz
Miti ya Sam Nujoma.the one behind this ubadilifu huu ni Lukuvi.Lukuvi alipewa Proposal on how to beautify the city.alipelekewa proposed Dsm with palm trees and gardens including Samnjoma road design.Twiga cement walikubali kusponsor Mradi huo wa kupanda Palms barabara ile after being satisfied with the Proposal.baada ya Lukuvi kuona kuwa apati 10% akahamua kufanya yeye ili apate mgao.well ikiwa hivyo..milipofika muda wa kununua hiyo miti akataka kuinunua toka kwa wale waliompelekea first proposal ambao wana over 5000+ palms trees kwenye stock yao,jamaa wakamwambia kama umekataa kufanya na sisi,atukuuzii miti yetu.toka katafute miti yako upande,Lukuvi akawa na presha ya kumaliza upandaji wa miti kabla ya mkutano.ikawa ana jinsi akaanza pita mitaa ya mbezi beach anatafuta mipalm nyumba adi nyumba mpaka kwa laki 6 kwa mti,wapo waliokubali na waliogoma kumwuhuzia.but yeye mti mmoja ameiuzia serikali zaid ya million 3 wakati proposed price was laki 2.lakini akaambiwa na wale wakwanza kuwa miti hii will die kabla ya this december.ALL FILE LA MADUDU YA LUKUVI JUU YA HILI LA SAM NJOMA na MENGINEYO REGARD WASTE MANAGEMENT FOR DSM lipo ni PM if you want see It

Walewale na ni yaleyale,hichi kizazi kinachong'ang'ania madaraka kimefika mahala hata brains zao hazifanyi kazi tena,washazeeka kimwili na kiakili; they are DEAD. Wakae pembeni wale pension zao tu, angalia 80% yao n umri gani?!
Karne nzima wanaongoza haohao mnategemea nini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom