Sigonella Island
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 13,310
- 40,589
- Thread starter
-
- #181
Haha hahaha najifanyaga fala au boya kumbe mnyamwezi nazuga nipo mawindoUna bahati sana ya kupata hao wadada wa hvyo maana ninawajua mim ukitaka mgombane waambie habari za kupka ukitaka pilau kuku atakuambia twende kwa mudi mapilau au Halima biriani anapika vzr utabakia kula kwa mgahawa akimaliza anasepa zake.
Kwa hiyo kwa haraka haraka ukipiga hesabu umechinja kuku wangapi mpaka Sasa hivi?
Mwenzako yupo siriaz na kavunja kabati LA usiriaz kabisa mkuuUtoto bwana
Hahahaaa! Swali la ajabu hadi kichekoKwa hiyo kwa haraka haraka ukipiga hesabu umechinja kuku wangapi mpaka Sasa hivi?
Utoto bwana
Nilifanya haya kipindi hicho balehe changa SAA hizi nimeacha hata down nguvu imepungua
Umri wako mkuu tafadhaliKatika harakati za kunasa warembo niliamua kufuga kuku kwangu ukawa ndio mtego mzuri nikipata mrembo namwambia nahamu na pilau kuku ila sijui kupika anakwambia nunua kuku mi namwambia kila kitu ninacho tatizo sijui kuandaa basi atapanga siku anakuja mapema akifika namwambia achague kuku gani nimchinje namuonesha jiko anaomba nimuoneshe chumba aingie abadili nguo sasa ndio mtihani unapoanzia anatoka na khanga moja au mtandio unaona kila kitu anaingia jikoni na kuwasha ges anaanza kukaangiza akimaliza tunakula tukimaliza anahitaji aende kuoga hapo ataomba taulo ntampa atavua nguo zote zilizobaki mwilini ataingia bafuni akitoka tu ndio mda wangu wa kumtafuna yeyehuu mtego umenasa wengi sana. Lete wako tu share experienceView attachment 1088460
Uliza babaHuo mtego hta dem anaejielewa hawez chomokaa, labda me nina swali mkuu
Nimezaliwa kipindi cha janga la njaa.Umri wako mkuu tafadhali
Hii chai imeungwa limao/ndimu zilizo chachaKatika harakati za kunasa warembo niliamua kufuga kuku kwangu ukawa ndio mtego mzuri nikipata mrembo namwambia nahamu na pilau kuku ila sijui kupika anakwambia nunua kuku mi namwambia kila kitu ninacho tatizo sijui kuandaa basi atapanga siku anakuja mapema akifika namwambia achague kuku gani nimchinje namuonesha jiko anaomba nimuoneshe chumba aingie abadili nguo sasa ndio mtihani unapoanzia anatoka na khanga moja au mtandio unaona kila kitu anaingia jikoni na kuwasha ges anaanza kukaangiza akimaliza tunakula tukimaliza anahitaji aende kuoga hapo ataomba taulo ntampa atavua nguo zote zilizobaki mwilini ataingia bafuni akitoka tu ndio mda wangu wa kumtafuna yeyehuu mtego umenasa wengi sana. Lete wako tu share experienceView attachment 1088460
Unamaanisha na wewe unataka kuchinjiwa jogooHii chai imeungwa limao/ndimu zilizo chacha
Hao walikuwa madem wanaofanya kazi za ndani maeneo ya jirani ulikopanga.Unamaanisha na wewe unataka kuchinjiwa jogoo
Mkuu kwani k uma yaHao walikuwa madem wanaofanya kazi za ndani maeneo ya jirani ulikopanga.
Kipindi hicho kuna jamaa tulikuwa tunaishi mtaa mmoja hatukuwa marafiki ila tulikuwa tunaonana Mara chache bas siku kaniona ananiambia naomba kesho uje unipikie maini na wali sijui kuyapika khaa nikamwambia poa bac kimoyomoyo nasema yani huyu hajui shule anayosoma Mimi ndio headmasterUnamnyonyoa mwenyewe anakuta nyama kwenye friji anachukua kiasi anakaanga
Kwahiyo uli aliambua vumbi au ulimvulia pichuKipindi hicho kuna jamaa tulikuwa tunaishi mtaa mmoja hatukuwa marafiki ila tulikuwa tunaonana Mara chache bas siku kaniona ananiambia naomba kesho uje unipikie maini na wali sijui kuyapika khaa nikamwambia poa bac kimoyomoyo nasema yani huyu hajui shule anayosoma Mimi ndio headmaster