Lissu hivi sasa anakata Mbuga, enzi za Magu Lissu anaglikuwa chumbani hivi sasa? au nasema uongo?π΅π΅π΅Chura anaruka ruka, chura anadanki danki , huyoo chura anarukaruka, churaaa anadanki dankiπ΅π΅π΅πΆ
Muulize Lissu. Tangu aingie dkt Samia kafanya ,Mikutano mingapi? Mara ngapi kashtakiwa? Muulize enzi zilizopita alikuwa hali gani?Duuhh, umelipwa sh. ngap? Mambo halisi yapo tofauti sana na uhalisia.
Baba Mtakatifu Papa Francisco anayeketi kitini pake Mtume Petro ππ₯Lissu hivi sasa anakata Mbuga, enzi za Magu Lissu anaglikuwa chumbani hivi sasa? au nasema uongo?
usiharibu madaBaba Mtakatifu Papa Francisco anayeketi kitini pake Mtume Petro ππ₯
Kwa sababu zozote na vipimo vyovyote Samia amewashinda wengine waote waliotangulia.Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania ameonyesha sifa kadhaa ambazo zinaonekana kufanana na sifa za rais bora:
- Uadilifu: Rais Samia ameonekana kujitahidi kufuata maadili ya uongozi na kutoa kipaumbele kwa maslahi ya umma.
- Uongozi bora: Tangu kushika madaraka, Rais Samia ameonyesha uongozi thabiti na uwezo wa kuongoza nchi kupitia changamoto mbalimbali.
- Mawasiliano bora: Amekuwa akifanya jitihada za kufanya mawasiliano ya moja kwa moja na wananchi kupitia hotuba zake na mikutano ya hadhara.
- Uwezo wa kutatua matatizo: Kupitia sera na maamuzi yake, Rais Samia amejitahidi kutatua matatizo ya kijamii na kiuchumi nchini Tanzania.
- Uongozi wa kipekee: Amekuwa akipigania mageuzi na kuweka msisitizo kwenye maendeleo ya kiuchumi na kijamii.
- Kujitolea kwa umma: Amekuwa akionekana kujitolea kwa dhati katika kutumikia wananchi wa Tanzania.
- Ufahamu wa masuala ya kitaifa na kimataifa: Rais Samia ameonekana kuwa na ufahamu wa masuala ya ndani na nje ya nchi, na amejitahidi kufanya diplomasia ya kisasa.
- Kuunganisha: Amekuwa akijitahidi kuunganisha wananchi wa Tanzania kutoka makundi mbali mbali . View attachment 3016088 Sura Al-Maidah, aya ya 8:
"Enyi mlio amini! Kuweni wasimamizi madhubuti kwa ajili ya Mwenyezi Mungu, mkisimamia uadilifu, wala asiwepo chuki yoyote kati yenu iwaongoze kufanya dhulma. Kuweni karibu na uadilifu. Hiyo ndiyo takwa lililo muhsinilizi."
Enzi iliyopita, Lakini utambue kuwa hii sio favour, ni haki kikatiba.Muulize Lissu. Tangu aingie dkt Samia kafanya ,Mikutano mingapi? Mara ngapi kashtakiwa? Muulize enzi zilizopita alikuwa hali gani?
weka kifungu cha katiba kinachosema hivyoEnzi iliyopita, Lakini utambue kuwa hii sio favour, ni haki kikatiba.
Mbona una hoja za kijinga sana? Si ni haki yake kufanya mikutano? Ashtakiwe kwa kosa gani?Muulize Lissu. Tangu aingie dkt Samia kafanya ,Mikutano mingapi? Mara ngapi kashtakiwa? Muulize enzi zilizopita alikuwa hali gani?
Ata sijui umeandika nini.Lissu hivi sasa anakata Mbuga, enzi za Magu Lissu anaglikuwa chumbani hivi sasa? au nasema uongo?