Mitandao ya Simu na vifurushi vya intanet

Mitandao ya Simu na vifurushi vya intanet

SHIEKA

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2011
Posts
8,240
Reaction score
4,280
Ninafahamu kwamba mitandao karibu yote ya simu imeanika sokoni vifurushi vya intaneti.Ninachotumia mimi ni vodacom BOMBA7. Kifurushi hiki kiko hivi: kinanunuliwa kwa sh 10,000 na unapata MB 750 kwa wiki. Wao Hawasubiri hizo mb ziishe ila wanahesabu siku tu! Siku saba zikiisha hata kama una akiba ya mb, kwa mfano 200, zinakufa ndani. Hii naona kama ni uonevu na wizi.Ninataka kuhamia penye unafuu. Sasa nawauliza wanajf, je, ni mtandao upi wenye vifurushi nafuu kwa mlalahoi kama mimi?
NINAWATAKIENI HERI YA MWAKA MPYA! MWAKA 2012 BILA BAN INAWEZEKANA!
 
Hamia Zain.

Ila,

Nipo moshi pia. Waweza kuni PM kuna jambo muhimu. Nitakujuza.
 
Hamia Airtel 400MB Kwa sh 2500 tu na unatumia siku 30. Kama wewe ni mlala hoi kweli nadhani huna cha kusubiri
 
Hamia Airtel 400MB Kwa sh 2500 tu na unatumia siku 30. Kama wewe ni mlala hoi kweli nadhani huna cha kusubiri

Asante.Modem ya Airtel inauzwaje? Au hawatumii modem?
 
unaweza tumia hiyo ya voda mkuu kuna kitu yaitwa join air haina haja ya ku unlock au kununua modem nyingine(hii ni kwa ZTE tu)
 
Ninafahamu kwamba mitandao karibu yote ya simu imeanika sokoni vifurushi vya intaneti.Ninachotumia mimi ni vodacom BOMBA7. Kifurushi hiki kiko hivi: kinanunuliwa kwa sh 10,000 na unapata MB 750 kwa wiki. Wao Hawasubiri hizo mb ziishe ila wanahesabu siku tu! Siku saba zikiisha hata kama una akiba ya mb, kwa mfano 200, zinakufa ndani. Hii naona kama ni uonevu na wizi.Ninataka kuhamia penye unafuu. Sasa nawauliza wanajf, je, ni mtandao upi wenye vifurushi nafuu kwa mlalahoi kama mimi?
NINAWATAKIENI HERI YA MWAKA MPYA! MWAKA 2012 BILA BAN INAWEZEKANA!

kwa sasa mordem nzuri ni ya voda unaichakachua unatumia line zote na hiyo elfukumi yako unge jiunga na unlimited ya tigo ungetumia wiki nzima uka download no limit mpaka wiki iishe
 
Zain kiboko lkn watembelee tigo naogopa kutoa siri mniPM kasoro wenye makampuni sitawajibu
 
Back
Top Bottom