Nyenyere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 14,842
- 10,765
wenzetu wenye tiGO mnafaidi!
Dah, hongera yenu wenye tiGO
wenzetu wenye tiGO mnafaidi!
Kanda ya ziwa mkuu
Kwa tigo ya simu ninayotumia mimi sasa hivi imeleta jibu
salio halitoshi. ongeza salio au piga *149*49# upate sek 240 za niwezeshe.
Nyie mnatumia tigo ipi
Nipo Iringa nilitumiwa hiyo meseji na tigo lakini kama huna salio meseji haiendi.
Ninachofurahia tigo kwa sasa ni FREE INTERNET ORG ambayo naperuzi JAMIIFORUMS bila DATA.
Mimi natumia mtanfdao wa TIGO lakini hakuna cha msg za bure wala INTERNET YA BURE labda sio tigo hii ninayotumia
Mnaongelea tigo ipi???
Mnaongelea tigo ipi???
Hii huduma ipo mda wote au ina masaa yake? Asante
hiyo ni maalum kwa kanda ya ziwa....