Mitandao mingine igeni kutoka Tigo

Mitandao mingine igeni kutoka Tigo

chakii

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2013
Posts
21,540
Reaction score
28,294
Furahia kutuma SMS BURE kabisa ukiwa na mtandao wa Tigo. Huitaji kujiunga.

Chanzo:Tigo
 
Sio kweli mkuu,labda inategemea na sehemu ulipo......
 
sawa tumekujua upo kanda ya ziwa, tigo wanajua kwamba kanda ya ziwa wameachwa nyuma na wenzao so inabidi watoe viofa vingi ili kuwavuta raia
 
Nipo Iringa nilitumiwa hiyo meseji na tigo lakini kama huna salio meseji haiendi.
Ninachofurahia tigo kwa sasa ni FREE INTERNET ORG ambayo naperuzi JAMIIFORUMS bila DATA.
 
Nipo Iringa nilitumiwa hiyo meseji na tigo lakini kama huna salio meseji haiendi.
Ninachofurahia tigo kwa sasa ni FREE INTERNET ORG ambayo naperuzi JAMIIFORUMS bila DATA.

Mimi natumia mtanfdao wa TIGO lakini hakuna cha msg za bure wala INTERNET YA BURE labda sio tigo hii ninayotumia
 
Kwa tigo ya simu ninayotumia mimi sasa hivi imeleta jibu
salio halitoshi. ongeza salio au piga *149*49# upate sek 240 za niwezeshe.

Nyie mnatumia tigo ipi
 
Mimi natumia mtanfdao wa TIGO lakini hakuna cha msg za bure wala INTERNET YA BURE labda sio tigo hii ninayotumia

Download internet org utaikuta na jamiiforums au kwenye Speed dial ya operamin weka internet org na mara nyingi huwa inatokea yenyewe automatical
 
Huo ndio Mtandao 'elekezi', utaona majamaa ya voda nayo mbiombio kuiga.
 
Back
Top Bottom