Mpinzire
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 7,224
- 12,944
Mitambo ya Kampuni ya kufua umeme nchini "Symbion" imeshindwa kuwalipa wafanyakazi wake mishahara takribani miaka mitatu sasa hivyo kupelekea kampuni hiyo kushtakiwa mahakama ya kazi na hatimae tangazo rasmi limebandikwa la kupigwa minada mitambo yake.
Ikumbukwe mitambo hiyo ilizulinduliwa na aliyekuwa Rais wa awamu ya nne Dr. Kikwete sambamba na Mh Barack Obama aliyekuwa Rais wa Marekani kwapamoja, Mitambo hii iliwahi kuingiwa na kashfa ya ufisadi huku link yake ikitoka katika kampuni ya Richmond zote kutoka nchini Marekani.
=====
MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, Divisheni ya Kazi, imeamuru Kampuni ya kufua umeme Symbion Power Tanzania Limited, kuwalipa waliokuwa wafanyakazi wake zaidi ya Sh. bilioni 12 ambazo ni malimbikizo ya mishahara yao.
Wafanyakazi hao 43, wanaidai kampuni hiyo Sh. 12,249,890,439 tangu mwajiri huyo aliposimama kuwalipa mwaka 2016 baada ya serikali kupitia Shirika la Umeme (TANESCO) kusitisha mkataba.
Ikumbukwe mitambo hiyo ilizulinduliwa na aliyekuwa Rais wa awamu ya nne Dr. Kikwete sambamba na Mh Barack Obama aliyekuwa Rais wa Marekani kwapamoja, Mitambo hii iliwahi kuingiwa na kashfa ya ufisadi huku link yake ikitoka katika kampuni ya Richmond zote kutoka nchini Marekani.
=====
MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, Divisheni ya Kazi, imeamuru Kampuni ya kufua umeme Symbion Power Tanzania Limited, kuwalipa waliokuwa wafanyakazi wake zaidi ya Sh. bilioni 12 ambazo ni malimbikizo ya mishahara yao.
Wafanyakazi hao 43, wanaidai kampuni hiyo Sh. 12,249,890,439 tangu mwajiri huyo aliposimama kuwalipa mwaka 2016 baada ya serikali kupitia Shirika la Umeme (TANESCO) kusitisha mkataba.