Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,174
Habari hii ya kusikitisha imo kwenye gazeti la Majira la leo ambapo tunahabarishwa ya kuwa kumbe tangia tuifunge mitambo ya Mtera ya kuzalisha umemem tulienda kuuchapa usingizi na sasa ni takribani miaka 20 imepita sasa bila kukarabatiwa.............
Wahenga walinena ..........Usipoziba ukuta utajenga ukuta............
yaelekea hilo ndilo tunalolitaka............kuijenga upya mitambo ya Mtera na kwa gharama kubwa mno.......................
Kweli Maisha bora kwa kila Mtanzania ni njozi ya kusadikika ya viongozi wa CCM peke yao.........
Wahenga walinena ..........Usipoziba ukuta utajenga ukuta............
yaelekea hilo ndilo tunalolitaka............kuijenga upya mitambo ya Mtera na kwa gharama kubwa mno.......................
Kweli Maisha bora kwa kila Mtanzania ni njozi ya kusadikika ya viongozi wa CCM peke yao.........