Mitambo ya Bwawa la Mtera yapata hitilafu, mikoa 14 kukosa umeme

poa
Shirika la Umeme Tanzania TANESCO limethibitisha kutokea kwa hitilafu hiyo kwenye moja ya mitambo ya kuzalisha umeme ya Bwawa la Mtera na kusababisha upungufu wa Umeme.

Mikoa 14 itakayokosa Umeme kwa muda usiofahamika ni pamoja na Ruvuma, Mbeya, Mwanza, Iringa, Manyara, Singida, Geita, Arusha, Morogoro, Shinyanga, Njombe, Tanga, Pwani na Dar es salaam.

TANESCO wamesema wataalamu wanaendelea na jitihada za kuhakikisha huduma ya Umeme inarejea kwa wateja wake.

View attachment 2339972
poa
 
Lazima tuhoji kwa miaka 05 iliyopita mbona hapakuwa na mambo ya MItambo kufa mikoa 14 ni sawa na nusu ya Tanzania Bara nzima iko gizani????? Tutarudi kwa wananchi 2025 tutawaeleza tozo, umeme nk ..
Ukiona Mikoa ya Dar,Mbeya,Arusha na Mwanza iko gizani basi ujue wanamaanisha nchi iko gizani.
 
Ropes. This is not right, huna njia nyingine ya kupiga hela?
Inamaana nchi hii umeme mwingi unatoka Mtera. Huku kinyerezi na Ubungo na nyumba ya mungu na Pangani kunazalisha asilimia ngapi?
 
Back
Top Bottom