Kuhusiana na kuwa husishahao unao waita wazee wa mingozo na kile kilicho tokea bunge hebu jaribu kuona kauli ya spika na hoja yako na utuhakikishie kuwa ni wapi hao waliomba muongozo kwa wewe umeona ni tatizo wakati mwingine tukubaliane na ukweli hata kama haupendi ilimradi ni ukweni meza kama dawa kwa kuwa sababu ya kumeza dawa ni ili upone kwa hiyo kwenye bunge letu kuna wanao paswa kumeza dozi hizi wanao pewa ili waweze kupona.
Pitia hili la spika hapa chini.
Tumeona Spika akisema kuwa angeshangaa kuona kama wabunge wasingeuliza maswali hayo ya msingi. Pia amekubaliana nao. Lakini wasingeuliza ili kutimiza mshangao wake basi hatujui ingekuwaje na huenda ingekuwa kama ilivyoelekea kuwa.
Sasa, kama Spika alijua kuwa haya ni maswali ya msingi na ya kikanuni, hebu angalia walioyauliza (Zitto, Tundu, Mnyika). Wote ni Chadema.
Utaachaje kusema kwamba alichotarajia hoja yamsingi kama ile isiulizwe na wabunge kwa kweli kwa namna moja ni sawa na yeye kujua kwamba haiwezekani hoja ya msingi ipite kimya mle bila Chadema kuuliza.
Hakuna CCM hata mmoja aliyeinuka kusema lolote katika haya ambapo yasingesemwa yangepita hivi hivi tu kama ilivyoelekea.