kwa wasafili wa mabasi yaendayo Arusha ogopa sana TENGERU ni hatari sana wezi wa simu kwa abiria wa magari yote hata kama gari ikiwa kwenye mwendo wa speed kubwa hawa jamaa wana uwezo wa kuchukua simu kwenye siti yoyote uliyo kaa
ni hatari sana yaan very exipart hadi wanaitwa mafundi
Dar pita Keko machungwa,kurasini kijiji cha wavuvi,chadema bombom,kigogo kwa binti kahenga,mwananyamala kisiwani,manzese midizini,kinondoni moscow,kariakoo bonde la jangwani.....kwingine wataongezea.
kwa wasafili wa mabasi yaendayo Arusha ogopa sana TENGERU ni hatari sana wezi wa simu kwa abiria wa magari yote hata kama gari ikiwa kwenye mwendo wa speed kubwa hawa jamaa wana uwezo wa kuchukua simu kwenye siti yoyote uliyo kaa
ni hatari sana yaan very exipart hadi wanaitwa mafundi
Dar pita Keko machungwa,kurasini kijiji cha wavuvi,chadema bombom,kigogo kwa binti kahenga,mwananyamala kisiwani,manzese midizini,kinondoni moscow,kariakoo bonde la jangwani.....kwingine wataongezea.
mtwara, kuna mdenganamadi na likonde ni noma ingawa sasa ivi wale jamaa walikua wanajiita (tukale wapi) ni madereva wa bodaboda.
du kumbe bodaboda makes life better