Miswada kandamizi inayopelekwa bunge kwa hati ya dharula huandaliwa na nani?

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,667
218,171
Wengi tunajiuliza hivi ni nani hasa anayeandaa miswada ya namna hii, anaanzaje kuiandaa, anashauriwa na nani, au anaamua mwenyewe tu, yeye ni nani hasa na huwa anatokea wizara gani , au anatokea ofisi gani , je miswada hii huandaliwa wizarani , ikulu au huandaliwa na CCM?

Nafahamu wengine watasema Miswada yote huandaliwa na serikali , hata mimi nakubali lakini serikali ni pana sana , ni akina nani hasa wanaanda miswada hii ( namaanisha think tank ) , wazo hutolewa na nani na kwanini yeye ndiye atoe wazo hilo na je huwa wanaleta sheria hizi baada ya kuona nini ? bado siamini kama Rais wa Nchi ndiye mtunga miswada , bila shaka wapo wenye kazi yao , je majina yao yanafahamika na wanatokea ofisi ipi , au ni watu wa siri , kwanini ?

Ni vema tukawajua wahusika wa jambo hili ili tuwaweke kwenye kumbukumbu ya milele ya watu walioshiriki kwa moyo mkunjufu katika kudidimiza nchi , hii itasaidia pia kuwaondoa watu wengine wanaolaumiwa kwa mambo yasiyowahusu .

Natanguliza shukrani na naomba kuwasilisha
 
bila shaka ofisi ya mwanasheria mkuu wa serikali, yes yule jamaa ambaye hakuwa hata na vigezo vya kumuwezesha kuteuliwa.
bila shaka JPM hua anamkoromea matamanio yake (his darkest desires) kisha yeye anayageuza kuwa miswaada.
kwa mfano,
JPM: hii mitandao natamani aje malaika aifunge! lazima tui 'control' 😤
AG: tumeandaa muswaada huu hapa mheshimiwa, utatuwezesha kui 'control' mitandao!
 
bila shaka ofisi ya mwanasheria mkuu wa serikali, yes yule jamaa ambaye hakuwa hata na vigezo vya kumuwezesha kuteuliwa.
bila shaka JPM hua anamkoromea matamanio yake (his darkest desires) kisha yeye anayageuza kuwa miswaada.
kwa mfano,
JPM: hii mitandao natamani aje malaika aifunge! lazima tui 'control' 😤
AG: tumeandaa muswaada huu hapa mheshimiwa, utatuwezesha kui 'control' mitandao!
Shukrani sana mkuu
 
Wengi tunajiuliza hivi ni nani hasa anayeandaa miswada ya namna hii , anaanzaje kuiandaa , anashauriwa na nani , au anaamua mwenyewe tu , yeye ni nani hasa na huwa anatokea wizara gani , au anatokea ofisi gani , je miswada hii huandaliwa wizarani , ikulu au huandaliwa na ccm ?

Nafahamu wengine watasema Miswada yote huandaliwa na serikali , hata mimi nakubali lakini serikali ni pana sana , ni akina nani hasa wanaanda miswada hii ( namaanisha think tank ) , wazo hutolewa na nani na kwanini yeye ndiye atoe wazo hilo na je huwa wanaleta sheria hizi baada ya kuona nini ? bado siamini kama Rais wa Nchi ndiye mtunga miswada , bila shaka wapo wenye kazi yao , je majina yao yanafahamika na wanatokea ofisi ipi , au ni watu wa siri , kwanini ?

Ni vema tukawajua wahusika wa jambo hili ili tuwaweke kwenye kumbukumbu ya milele ya watu walioshiriki kwa moyo mkunjufu katika kudidimiza nchi , hii itasaidia pia kuwaondoa watu wengine wanaolaumiwa kwa mambo yasiyowahusu .

Natanguliza shukrani na naomba kuwasilisha
mkuu, "think tanks" ni wale wa jalalani. lazima watunge sheria zinazowabeba lest wasirudishwe jalalani!
 
Back
Top Bottom