Misukule ya kenya na tanzania yatolewa "angola"-can

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,955
22,134
Timu za ivory coast na cameroon ambazo zilipitia tanzania na kenya
kwa ajili ya mazoezi hatimae zimeaga mashindano ya can angola
wakati ivory coast walianza wenzao cameroon wameaga jana kwa style ya aina yake
tunawakaribisha tena 2012 mkifanikiwa
 
Mimi najiuliza, hivi Tanzania ingekuwa na wachezaji waliosheheni kila upande kama Ivory Coast au Cameroon halafu ikafungwa kama ilivyotokea ingekuwaje?. Wachezaji wetu mbuzi hivi tukifungwa noma namna hii, tungekuwa viwango huyo kocha si angechunwa ngozi?
 
Wangemtoa kafara mi nasema bora maximo ajiendee watanzania awana adabu kabisa;awachelewi kumsakizi mizinga yenye h.i.v
 
Back
Top Bottom