iO mbona mwake tu, wewe tu labda hupatani nazo!!'Dont try mkuu. Brand yoyote inaitwa Mitsubishi kwa vigari vidogo achana navyo.
Hizo ni engine gani na bei zake zikoje? Nina rvr imeniletea shida nataka kubadili engine/ gearbox.Usijaribu na sikushahuri broda! Hiyo RVR siyo kabisa,nyingi zinabadilishwa injini na kufungwa 5A au 4E.