accoint yake ya fb
Mie amkubali sana Stamina kwa staili yake na maneno yake
anaimba utumbo mtupu
Ila One incredible ana mistari tata sanaaa
stamina anaunga unga mistari ndio maana mwanangu Nash mcee aliwachana wote
Mistari hii niki isikilizaga huwa inanikera sana !
I don't see the difference between Rap and Bible /
Na wajukuu wengi mpaka najiuliza nimtume nani/
Nitume mimi YESU akasema/
akaja akala kichapo sijui ka atarudi Tena/
joh makini, ndo anatungo tata zenye maana....
joh makini, ndo anatungo tata zenye maana....
Songa anamstari anakwambia Christopher naua kila mti wana niita mti Killer
We ni me au ke??? Samahani lakiniDadaako anatamani kuwa na bwana kama mimi.