Mistari tata ya Nikki Mbishi, baba Malcom

Mistari tata ya Nikki Mbishi, baba Malcom

Mistari hii niki isikilizaga huwa inanikera sana !


I don't see the difference between Rap and Bible /

Na wajukuu wengi mpaka najiuliza nimtume nani/
Nitume mimi YESU akasema/
akaja akala kichapo sijui ka atarudi Tena/

Hahahaha,

Za uso hizo.
 
Utam wa chai sukari/majani yanaweka rangi
Ukipenda vitu vizuri/ubahiri mwachie mangi
Ukubwa wa fella/ulimfanya bibi akacheka
Dawa ya penzi ni hela/gawa doze utachoka
 
Hahahaha,

Za uso hizo.


Ungekuwa umesema wewe ningeona ni kawaida ! Na yakupasa kaka ! Mana tayari publicly we ni huamini ! Uwepo wake

Lakini yeye ! Anae beleave in God !
Ana speak exasparate words kama hizo ! Si uchizi huu !
 
Ungekuwa umesema wewe ningeona ni kawaida ! Na yakupasa kaka ! Mana tayari publicly we ni huamini ! Uwepo wake

Lakini yeye ! Anae beleave in God !
Ana speak exasparate words kama hizo ! Si uchizi huu !

Imeandikwa "so.kila.mtu atakayeniita bwana bwana..."

Umesoma biblia?

Wengine wa (tu)natumia maandiko ya Biblia sawa na Shakespeare na Rabelais tu.
 
Imeandikwa "so.kila.mtu atakayeniita bwana bwana..."

Umesoma biblia?

Wengine wa (tu)natumia maandiko ya Biblia sawa na Shakespeare na Rabelais tu.


Kazi ipo !
Kuna wengine hata wakisoma huwa hawaielewi !
Na wengine wakisoma wanaielewa ila tofauti na maana halisi!
Usipokuwa na kitu ndani ya Roho ndipo unaweza kuisoma kama kina Shakespeare !

Mana Biblia ni uwanja mpana !
Sawa sio kila atakeita bwana bwana '' atauona ! (hii hainipi confirmation kwamba nawe unaamini kama yupo, ila umekata tamaa ya kutouona !)

Ila mwisho wa yote mi ambae haamini uwepo wake !
Huwa namwambia AFE kwanza ! Mana Akifa ataweza confirm kama yupo au hayupo !
 
Mistari hii niki isikilizaga huwa inanikera sana !


I don't see the difference between Rap and Bible /

Na wajukuu wengi mpaka najiuliza nimtume nani/
Nitume mimi YESU akasema/
akaja akala kichapo sijui ka atarudi Tena/

Hapa hapana!! Hii mistari inakera siyo siri
 
wazazi wanasema nimeshakua, inamaana vibaya na vyema nimeshajua, jua linazama tazama inanyesha mvua, nakesha kwa dua kumuombea anayekesha AKIVUA. (Songa)
 
sarakasi ubinuliwe harakati zirudiwe/ hapa unawekwa kati hata uwe Araphat ngumi jiwe/

Nachinja bila mundu wala kisu/ nadinda mbele ya makinda wananiita Tundu Lissu

Alazwe pema ghadafi/ wema punguza uchafu upate wema wa wasafi

ongeleeni wote mkimaliza niki mbishi mwisho nwa matatizo
"nawaumbua mamc wanaopodoa mistari mithiri ya photoshop""
 
ongeleeni wote mkimaliza niki mbishi mwisho nwa matatizo
"nawaumbua mamc wanaopodoa mistari mithiri ya photoshop""

Kala pina nabii koko /
ukija kwenye vina ni wazi madee cho|<0
 
nikki mbishi nyoko dunia nzima aisee

unazigo kubwa nakusaidia kulibeba halaf unadai nakubaishia
sa unataka mungu akupe nini?
au manyaunyau akupe jini ?
basi muombe akupe mimi
hahahhahaha niki shikamooooooooo

Ukipanda dau hiyo
mwezi wa tatu anaachia ngoma mpya ft walter chilambo
 
Ukipanda dau hiyo
mwezi wa tatu anaachia ngoma mpya ft walter chilambo
kasema au umezisikia wp mkuu?kweli unamfuatilia huyu mnyama aisee

nani mnyama anayekula unga(TID) AU anayekula nyasi?
 
tumika bila cash,tumboni deshi eeeh! fresh,nenepa tu kwa stress sio kesi japo haichekeshi!

mm napendaga sana apa ktk ngoma yake ya nyakati za mashaka ft grace matata
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom