Alisina
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 4,069
- 4,263
Hapana,sina mashairi ya huyo bwana.Embu basi tupia humu na Mistari ya "Utaona" ya Baggz Malone, nae alikua member wa KU Crew pia
Hapana,sina mashairi ya huyo bwana.Embu basi tupia humu na Mistari ya "Utaona" ya Baggz Malone, nae alikua member wa KU Crew pia
Nimefungua macho kujikuta gizani, kimenuka nadhani, watu wameshavuta majani yaani kiasi kusuka dili kujistiri gizani.....wanao Skiliza hawaskiii wanaoskia Hawaskilizi,, machizi si miujiza tunasonga namna Hii!!
Tunasonga Kwa Mwendo wa Farasi Au Kinyonga!!
Hahahahah nimecheka sana,ile verse Kali sana lakiniNakumbuka Niko advance nikaandikaga pembeni verse ya afande Sele kwenye nyimbo ya elimu dunia nikaweka kwenye kaunta book.
Manzi wangu alipoionaga ile karatasi kwenye makabrasha yake alinirudishia Kwa heshima zote ananambia eti ile sala yako uliyoiandika hii APA nimeikuta kwangu.
Heshima kwako mfalme Wa rhymes
ana kaugonjwa ka kutafsiri nyimbo za mbele huyoMwana FA - MFALME
"Sinung'uniki sina viatu, wenzangu hawana miguu"
"Hawalalamiki wanamshukuru aliye juu"
UsipimeDear madam mchomvu,na bibi twelve,poleni sana kwa uchovu wa ubishoo.lengo na madhumuni kuwapaka choo mwambieni shosti wenu ncha kali hajui kuflow
mnataka kuolewa mbona mnajipodoa? Dany msimamo vinega.
leo nimekumbuka hiki kipandeAliniuliza kama nina demu. Nikamwambia sina akadai ashawahi kuniona sehemu tatizo amenisahau jina. Unaitwa nani? Fid Q. unaishi wapi? gheto. Kazi yako nini?Mziki. Daz Baba ft Fid Q-mrembo namba 8
Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
Uandishi wa Hasheem Dogo ni wakipekee na hakika hakuna Rapa wa Bongo anaeweza kuandika namna hyoNimefungua macho kujikuta gizani, kimenuka nadhani, watu wameshavuta majani yaani kiasi kusuka dili kujistiri gizani.....
By Hasheem Dodo the Underground Mcee!
Tunasonga feat Kalapina.