Aqua
JF-Expert Member
- Jul 23, 2012
- 1,658
- 1,229
Baada ya kuona polisi wamekuwa wakiua raia unnecessary,nikawa nimeshindwa kuwaelewa.Ikabidi niende kwenye web site yao kutafuta information labda naweza elewa kwanini wanaua raia.Lakini sijaona kipengele kinacho waruhusu kufanya hiyo
From their website
Mission and Vision
Ukisoma hizo vision and mission utaamua mwenyewe kama polisi wanafuata hizo mission na vision zao?Polisi wamekuwa wakweli?
Raia kibao wameuawa nani amekuwa held accountable?Na ni responsibility ya nani kufanya hivyo?
Ukitaka kujua inauma mtu kuuliwa pasi sababu za msingi fikilia angekuwa ni ndugu yako,au unamtegemea kimaisha.Ila hao walio uawa na askari wengekuwa ni ndugu wa vigogo au wajeda story ingekuwa tofauti.Mi nafahamu kuna wananchi wengi sana ndugu zao au jirani zao kwa njia moja au nyingine waluliwa au wamefungwa kwa makosa yasiyo kweli. Kwenu askali mutaweza kweli kupata the so called "community confidence and trust"? Maisha ya mtanzania hayana thamani,nani atatulinda?
Nchi nyingine askari hawapewi silaha ovyo hii ni kuepuka mambo kama haya.Sometimes nakuwa nafikilia hawa askari walioua wakichunguzwa vizuri unaweza kuta wanamatatizo aidha ya kifamilia,maisha, ndoa au tatizo lolote.Kwani kuamua kutoa uhai wa mtu si maamzi madogo. Mimi ka raia nafanya kazi au biashara ,nalipa kodi kwa serikali yangu,hiyo hiyo kodi yangu inatumika kulipa mishahara ya watu ambao wanatakiwa kunilinda unfortunately wananiua mimi raia.
Kila lenye mwanzo lina mwisho,nchi hii haithamini uhai wa raia wake.A day will come when... Only sometimes we have to thank God for being poor and not able to possess...
From their website
Mission and Vision
Values ni nini? values - beliefs of a person or social group in which they have an emotional investment. Ni vitu ambavyo mtu anaamini ,na anaishi kwa kuvifuata na hayuko tayari kwenda kinyume navyo. Sina uhakika kama polisi wanazielewa na kuzifuata hizo mission na vision zao. | |
|
Raia kibao wameuawa nani amekuwa held accountable?Na ni responsibility ya nani kufanya hivyo?
Ukitaka kujua inauma mtu kuuliwa pasi sababu za msingi fikilia angekuwa ni ndugu yako,au unamtegemea kimaisha.Ila hao walio uawa na askari wengekuwa ni ndugu wa vigogo au wajeda story ingekuwa tofauti.Mi nafahamu kuna wananchi wengi sana ndugu zao au jirani zao kwa njia moja au nyingine waluliwa au wamefungwa kwa makosa yasiyo kweli. Kwenu askali mutaweza kweli kupata the so called "community confidence and trust"? Maisha ya mtanzania hayana thamani,nani atatulinda?
Nchi nyingine askari hawapewi silaha ovyo hii ni kuepuka mambo kama haya.Sometimes nakuwa nafikilia hawa askari walioua wakichunguzwa vizuri unaweza kuta wanamatatizo aidha ya kifamilia,maisha, ndoa au tatizo lolote.Kwani kuamua kutoa uhai wa mtu si maamzi madogo. Mimi ka raia nafanya kazi au biashara ,nalipa kodi kwa serikali yangu,hiyo hiyo kodi yangu inatumika kulipa mishahara ya watu ambao wanatakiwa kunilinda unfortunately wananiua mimi raia.
Kila lenye mwanzo lina mwisho,nchi hii haithamini uhai wa raia wake.A day will come when... Only sometimes we have to thank God for being poor and not able to possess...