Missing Tyta

siku hizi ni vita ya kushindana LIKES bila kujali umepost nini... But its alright lazima mabadiliko yatokee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaa alikuwa ana picha ya tukio lolote. Wale wazee wa lete picha walimkoma! Huwa anakuwepo jukwaa la michezo NBA Special Thread.
Tyta unaitwa huku
 

Watakua na wenyewe ma great thinker, kila kitu ni process.
 
Huyo jamaa alikuwa ni shiida... Sijui ni kipi kilimkimbiza jamanii...
 
Watakua na wenyewe ma great thinker, kila kitu ni process.
Kuna watu aina nne duniani
Kuna mtu anajua na anajua kama anajua huyu ni bora kuliko wote
Kuna mtu anajua lakini hajui kama anajua huyu anahitaji maelekzo madogo na kuna mtu hajui na anajua kama hajui
Huyu yupo tayar kujifunza
Kuna wa mwisho yeye hajui na hajui kama hajui huyu anasubiri kufa tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…