Hakika wanashindwa kufanya mambo ya msingi kisa kuombea viongozi wafeMnakuza mambo tu! Mtu yupo nje ya Tz. Msiba umetokea leo na kuzika leoleo anawahi vipi msibani?
Ukichagua kazi za kufanya utasema ajira hakuna.sawa nasubiria akirudi "kinondoni" nione picha akienda kuhani msibani, ajira hakuna hivyo muda upo ...
Ukichagua kazi za kufanya utasema ajira hakuna.
Mtafaruku Mtakatifuau nimepitwa labda, mambo ni mengi na yanakwenda kwa kasi sana, inawekunaje huyu "mwamba" asionekane popote kwenye msiba huu mzito wa kitaifa? ...
View attachment 3666263
Mimi sijaaliwa nipo na kazi zangu ukiamini utapata ajira kwa Nchi zetu hizo zenye mifumo ya kupata kazi kwa kujuana utatangaza sana kuwa hauna ajira...huo ushauri ni mzuri na rahisi kuutoa ukiwa na ajira na umeshiba, kwenye nchi ambayo on average kwa 1 position kuna >100 applicants, lkn bado watu wanaambiwa wanachagua kazi, walioshiba tu ndiyo husema hivyo ...
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Watanzania mnajua Watanzania wote wapo Kinondoni kikitokea kitu awepo tumedumaa sana aisee.
Sio kujiepusha kwa kuandika tu humu ni matendo ambayo yawepo kwa vizazi vijavyo yaendelee sijui kama ni rahisi sana.🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kuwa nyumbu ni mzigo ambao naomba Kila siku mwenyezi Mungu aniepushe, Mimi na kizazi changu.
Taarifa zilipelekwa kwa wahusika mara tu, wewe haumo.Mnakuza mambo tu! Mtu yupo nje ya Tz. Msiba umetokea leo na kuzika leoleo anawahi vipi msibani?