missing in action!

missing in action!

Kijakazi

Platinum Member
Joined
Jun 26, 2007
Posts
10,505
Reaction score
17,984
au nimepitwa labda, mambo ni mengi na yanakwenda kwa kasi sana, inawekunaje huyu "mwamba" asionekane popote kwenye msiba huu mzito wa kitaifa? ...

1788929434165.png
 
Ukichagua kazi za kufanya utasema ajira hakuna.

huo ushauri ni mzuri na rahisi kuutoa ukiwa na ajira na umeshiba, kwenye nchi ambayo on average kwa 1 position kuna >100 applicants, lkn bado watu wanaambiwa wanachagua kazi, walioshiba tu ndiyo husema hivyo ...
 
huo ushauri ni mzuri na rahisi kuutoa ukiwa na ajira na umeshiba, kwenye nchi ambayo on average kwa 1 position kuna >100 applicants, lkn bado watu wanaambiwa wanachagua kazi, walioshiba tu ndiyo husema hivyo ...
Mimi sijaaliwa nipo na kazi zangu ukiamini utapata ajira kwa Nchi zetu hizo zenye mifumo ya kupata kazi kwa kujuana utatangaza sana kuwa hauna ajira...
 
Back
Top Bottom