Missile cruiser to join Russian warships in Mediterranean.

Missile cruiser to join Russian warships in Mediterranean.

Hili ni TOP M moja ya kombola hatari kabisa

155328482.jpg
 
Sifikiri kama US wako kama unavyowafikiria kuwa,kabla hawajafikiria kuishambulia syria hayo yote walishayaweka kwenye possibilities na wakapata majibu yake!
Na katika masuala ya kijeshi na kiteknolojia sidhani kama urusi iko juu zaidi ya US


  1. Sio mara zote US wanakuwa sahihi, nao ni wanadamu kama wewe na mimi, huwa wanakosea planning zao sometimes.
  2. Russia na US sio mara zote wana disclose siri za uwezo wao wa kijeshi, kwa hiyo si vema sana kutoa conclusions za jumla jumla kwamba Russia haiwezi kuipita US kijeshi, and vice versa.
 
Back
Top Bottom