Hahaaaaa mkuu dunia ya sasa ni tofauti sana aisee ila huyu bado mdogo hata vipozi vya kitoto kitotoDada Diva Beyonce uwe na huruma hajawahi kupanda baiskeli huyu haa haaa haaa
Ndio mana hamjui hata pakuweka R na Lmashindano makubwa kama haya hayawezi kupelekwa katika vimiji vidogo, kwa tanzania miji ya dar na mwanza pekee inayoweza kuandaa kitu kikubwa kama hiki. dar ishafanyika mara 22 kwa hiyo sasa ni zamu ya mwanza mfurulizo afu litarudi dar, kwa baadae tutaifiria arusha
Na swali alilolijibu ndo hulifanyiaga kazi huko umasaini.
Jokate kafnya show km promo ya brand yke! Anaona km ameandaliwa yey hii showHuyu hata kuwa na kazi yakupunguza mwili
Hata mi ningeshangaa asingeshinda. All the best kwenye miss worldkana confidence sana hata alivokuwa anasimama nilijua tu katashinda
Na swali alilolijibu ndo hulifanyiaga kazi huko umasaini.
ndo miss tz huyu mwanamke zegeDah I hate make up jamani...!!!
hebu ona hizo picha mbili za mwanzo...kama kinyago!
Jamani si mtupiemo kapicha ka mshindi?
Unathbtshaje? mana 18yrs n mbali sn kuwa na smthng valuable km ikoshe is 18 ,virgin
Mwakani fadhili mkuu tena itakuwa vzuriGari yenyewe IST?!au macho yangu jamani?!kumbe hata mimi naweza Kudhamini haya mashindano mweh!
Umeona eeLakini Bella uyujamaa ananyota ya hela na mziki unaujuaa Bella chukua uraia bwanaaa tunashindwa ata kujipaisha kifua mbele
hahahahahhahha umenifanyaaa nicheke kwa saut usiku huuu duuuuuuhVirgin sikuhizi mwisho darasa latano
Huko mbali sana mbona darasa pili siku hizi.Virgin sikuhizi mwisho darasa latano