Hiyo era ishapita dada, hatuendekezi ujuha!ruth mollel alikuwa CCM akahamia CHADEMA mwezi mmoja kabla ya uchaguzi akapewa viti maalum....Makamanda wapigania chama mlifanya nini? Wema hata kesho akipewa ubunge wa viti maalum hakuna kamanda hata mmoja atanyanyua mdomo wake
....Mm na jamaa zangu wote huku mwanza hatuko ccm tena tulifanya kazi sana wakati wa kampeni kwa kujitolea hatukuhitaji hata mia ni mapenzi tuliyokuwa nayo kwa ccm na magufuli, lkn kwa yanayoendelea kwa anaejutambua lazima atachukua maamuzi, ubabe uonevu nk, pia kwa niaba ya wenzangu tunamshukuru sana aliyekuwa mkuu wa mkoa wa mwanza mh magessa mlongo ni mpambanaji sana alifanya kazi kubwa wakati wa kampeni. Mungu amsaidie sana na atamlipa
Hawa woote hawana madhara hata chembe kwa CCM. Naona kama wanajitafutia stress tu.nasikia na steve ataongea pia
hahahah Mbowe akiamua kumpa Wema Sepetu hata ukatibu mkuu wa chama leo hakuna kamanda yoyote atafungua bakuli lake...CHADEMA ina wenyewe nyie wengine ni bendera fuata upepo tuHiyo era ishapita dada, hatuendekezi ujuha!
Dada tambua ya kuwa sisi ni makamanda wenye kuamua mustakabali wa chama chetu,hahahah Mbowe akiamua kumpa Wema Sepetu hata ukatibu mkuu wa chama leo hakuna kamanda yoyote atafungua bakuli lake...CHADEMA ina wenyewe nyie wengine ni bendera fuata upepo tu