Raia Fulani JF-Expert Member Joined Mar 12, 2009 Posts 11,866 Reaction score 4,252 Jul 27, 2009 #2 hapo hamna hata mmoja. miss TZ atatoka ilala na ni sylvia shally
S S. S. Phares JF-Expert Member Joined Nov 27, 2006 Posts 2,138 Reaction score 88 Jul 27, 2009 #3 Mziwanda said: hapo hamna hata mmoja. miss TZ atatoka ilala na ni sylvia shally Click to expand... Duh.. kama ingekuwa ni Demokrasia, kura yangu ningempa huyu.
Mziwanda said: hapo hamna hata mmoja. miss TZ atatoka ilala na ni sylvia shally Click to expand... Duh.. kama ingekuwa ni Demokrasia, kura yangu ningempa huyu.
Edson JF-Expert Member Joined Mar 7, 2009 Posts 9,985 Reaction score 5,707 Jul 27, 2009 #4 Yebo Yebo said: Duh.. kama ingekuwa ni Demokrasia, kura yangu ningempa huyu. Click to expand... hakya mungu nakuunga mguu kwa hili
Yebo Yebo said: Duh.. kama ingekuwa ni Demokrasia, kura yangu ningempa huyu. Click to expand... hakya mungu nakuunga mguu kwa hili
N Nerist Member Joined Oct 28, 2008 Posts 11 Reaction score 0 Jul 27, 2009 #5 nyie hapo juu mwanchekesha its not the cover its the content...
Yo Yo JF-Expert Member Joined May 31, 2008 Posts 11,210 Reaction score 1,738 Jul 27, 2009 #6 Mziwanda said: hapo hamna hata mmoja. miss TZ atatoka ilala na ni sylvia shally Click to expand... mhh hii style ya kung'ta kidole..... muwe mnaweka na namba zao za simu....
Mziwanda said: hapo hamna hata mmoja. miss TZ atatoka ilala na ni sylvia shally Click to expand... mhh hii style ya kung'ta kidole..... muwe mnaweka na namba zao za simu....
Next Level JF-Expert Member Joined Nov 17, 2008 Posts 3,153 Reaction score 186 Jul 27, 2009 #7 Yo Yo said: mhh hii style ya kung'ta kidole..... muwe mnaweka na namba zao za simu.... Click to expand... We Yo Yo, si umemgeukia Sir God juzi juzi hapa ....vipi yameshakushinda mkuu?......NN alikuonya hukumsikia ona sasa....bado udenda unakutoka...ha!ha!ha!
Yo Yo said: mhh hii style ya kung'ta kidole..... muwe mnaweka na namba zao za simu.... Click to expand... We Yo Yo, si umemgeukia Sir God juzi juzi hapa ....vipi yameshakushinda mkuu?......NN alikuonya hukumsikia ona sasa....bado udenda unakutoka...ha!ha!ha!
Shishi JF-Expert Member Joined Feb 11, 2008 Posts 1,242 Reaction score 42 Jul 27, 2009 #8 Yo Yo said: mhh hii style ya kung'ta kidole..... muwe mnaweka na namba zao za simu....[/QUOTE] ahahahahha YoYoooooooooooooo mmmmm nilijua tu hapa hukosi.... Click to expand...
Yo Yo said: mhh hii style ya kung'ta kidole..... muwe mnaweka na namba zao za simu....[/QUOTE] ahahahahha YoYoooooooooooooo mmmmm nilijua tu hapa hukosi.... Click to expand...
Kobe JF-Expert Member Joined Jun 17, 2009 Posts 1,793 Reaction score 814 Jul 27, 2009 #9 Je wa tmk wako wapi?
Mr Kiroboto JF-Expert Member Joined May 3, 2008 Posts 350 Reaction score 93 Jul 27, 2009 #10 hizo picha mbona mie siwezi fungua?kunani kunani/
Kaizer Platinum Member Joined Sep 16, 2008 Posts 25,330 Reaction score 17,857 Jul 27, 2009 #11 Yebo Yebo said: Duh.. kama ingekuwa ni Demokrasia, kura yangu ningempa huyu. Click to expand... Swadakta hapo kinondoni weupe tu hakuna kitu apo, mwaka huu wamefulia
Yebo Yebo said: Duh.. kama ingekuwa ni Demokrasia, kura yangu ningempa huyu. Click to expand... Swadakta hapo kinondoni weupe tu hakuna kitu apo, mwaka huu wamefulia
Masanilo Platinum Member Joined Oct 2, 2007 Posts 22,283 Reaction score 4,553 Jul 27, 2009 #12 Yo Yo said: mhh hii style ya kung'ta kidole..... muwe mnaweka na namba zao za simu.... Click to expand... Shem ile department nyingine mbona hatujaonyeshwa? Siwezi kutoa kura bila walau kuiona!
Yo Yo said: mhh hii style ya kung'ta kidole..... muwe mnaweka na namba zao za simu.... Click to expand... Shem ile department nyingine mbona hatujaonyeshwa? Siwezi kutoa kura bila walau kuiona!
Ng`wanakidiku JF-Expert Member Joined Apr 18, 2009 Posts 1,195 Reaction score 232 Jul 27, 2009 #13 Yo Yo said: mhh hii style ya kung'ta kidole..... muwe mnaweka na namba zao za simu.... Click to expand... Hapana msipagawe na hii picha kwani hamjaona MAKALIO, USAFIRI. Ila anastahili kwa muonekano usiofikirika sana.
Yo Yo said: mhh hii style ya kung'ta kidole..... muwe mnaweka na namba zao za simu.... Click to expand... Hapana msipagawe na hii picha kwani hamjaona MAKALIO, USAFIRI. Ila anastahili kwa muonekano usiofikirika sana.
S Silas A.K JF-Expert Member Joined Apr 23, 2008 Posts 807 Reaction score 158 Jul 27, 2009 #14 labda anaweza kuwa Miss Bantu
Ng'azagala JF-Expert Member Joined Jun 7, 2008 Posts 1,288 Reaction score 222 Jul 27, 2009 #15 Mziwanda said: hapo hamna hata mmoja. miss TZ atatoka ilala na ni sylvia shally Click to expand... hili pozi ni hatari, mtu akikabhidhi mshahara si mjinga
Mziwanda said: hapo hamna hata mmoja. miss TZ atatoka ilala na ni sylvia shally Click to expand... hili pozi ni hatari, mtu akikabhidhi mshahara si mjinga
Chimunguru JF-Expert Member Joined May 3, 2009 Posts 10,678 Reaction score 4,377 Jul 27, 2009 #16 Wadau Miss kinondoni hakuna kitu, Huyo wa ilala dah anafaa sana ila mafisadi hapo watatafuna mpaka mifupa ahahaha
Wadau Miss kinondoni hakuna kitu, Huyo wa ilala dah anafaa sana ila mafisadi hapo watatafuna mpaka mifupa ahahaha
Kyakya JF-Expert Member Joined Apr 24, 2009 Posts 398 Reaction score 24 Jul 31, 2009 #17 Kinondoni Usanii mwingi warembo wenyewe hawana mvuto sana
Kyakya JF-Expert Member Joined Apr 24, 2009 Posts 398 Reaction score 24 Jul 31, 2009 #18 Wengine walishaolewa na kuachika humu
Kyakya JF-Expert Member Joined Apr 24, 2009 Posts 398 Reaction score 24 Jul 31, 2009 #19 Masanilo said: Shem ile department nyingine mbona hatujaonyeshwa? Siwezi kutoa kura bila walau kuiona! Click to expand... Kula vidole na Umiss wapi na wapi?
Masanilo said: Shem ile department nyingine mbona hatujaonyeshwa? Siwezi kutoa kura bila walau kuiona! Click to expand... Kula vidole na Umiss wapi na wapi?
Kyakya JF-Expert Member Joined Apr 24, 2009 Posts 398 Reaction score 24 Jul 31, 2009 #20 MegaPyne said: Washiriki ndio hawa... Nani kuibuka mshindi? Click to expand... Hawa afadhali naweza wapa kura yangu - ningekuwa Jaji
MegaPyne said: Washiriki ndio hawa... Nani kuibuka mshindi? Click to expand... Hawa afadhali naweza wapa kura yangu - ningekuwa Jaji