membe hawezi kuongea chochote hapa. akiongea tu, urafiki na mkuu utaisha, si unakumbuka yaliyomkuta Lowasa baada ya comment zake kuhusu maji ya mto Nile pale walipoanza kupeleka maji yake kwenye mikoa ya kaskazini kwenye ule mradi kikwete alienda kuzindua muda si mrefu? ukitaka kugombana na kikwete, ongelea jambo lolote kuhusu nchi za kiislam, urafiki unaisha. Misri haina haki yoyote kutuambia sisi tufanye hivyo, lakini kwasababu marais wetu ndo hivyo tena, tutabaki na ukame singida, shinyanga, dodoma na mikoa mingine, tukiachia waarabu kutumia maji. hapohapo hat urafiki na israel hatuwezi, wakati misri anao uwezo kusambaratisha nchi zote hizi tano kwa mpigo akiamua kuanzisha vita, Israel angekuwa rafiki yetu mkuuu, lakini ndo hivyo tena, viongozi wetu wanaona bora waarabu kuliko waisrael. siku zote ni kutoa laana juu ya israel tu. waarabu wenyewe hawajawahi kutoa msaada wowote kwa Tanzania, zaidi ya kujenga misikiti ya Osama, na kufadhili ugaidi. ukimuweka mtu mwenye kicha kigumu awe rais, mtaburuzwa mpaka mkome. nafikiri hapo ndipo penye hekima ya watanzania, hasa katika uchaguzi huu ujao.